kluger JF-Expert Member Joined Jun 16, 2016 Posts 2,093 Reaction score 1,899 Jan 26, 2018 #21 Ofisi gani ya mwanasheria anaweza nigongea mihuri hapa mnazi mmoja ?
666 chata JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 1,700 Reaction score 3,921 Jan 27, 2018 #22 Sasa hata umeshindwa kusema huo ni utaratibu wa wazawa au wageni? Je, wageni wakitaka kufungua kampuni watumie njia zipi na utaratibu gani? Msitoe elimu nusu nusu na za kawaida kabisaa mkajua mmetoa maarifa makubwa.
Sasa hata umeshindwa kusema huo ni utaratibu wa wazawa au wageni? Je, wageni wakitaka kufungua kampuni watumie njia zipi na utaratibu gani? Msitoe elimu nusu nusu na za kawaida kabisaa mkajua mmetoa maarifa makubwa.
E emres Member Joined Feb 19, 2018 Posts 50 Reaction score 31 May 22, 2019 #23 Shukran sana mkuu kwa elimu hii muhimu.
Rusumo one JF-Expert Member Joined Oct 4, 2018 Posts 3,458 Reaction score 4,283 May 22, 2019 #24 Noted mkuu
Decibel Senior Member Joined Nov 30, 2019 Posts 172 Reaction score 316 Jul 5, 2020 #25 jiwe angavu said: Je kama nataka nifungue kampuni yangu na mwanangu..ila mwanangu baddo hajafikisha 18+ nifanyeje katika hilo.? Click to expand... Mkuu IJUE SHERIA tafadhari naomba jibu la hili swali la bwana jiwe angavu
jiwe angavu said: Je kama nataka nifungue kampuni yangu na mwanangu..ila mwanangu baddo hajafikisha 18+ nifanyeje katika hilo.? Click to expand... Mkuu IJUE SHERIA tafadhari naomba jibu la hili swali la bwana jiwe angavu