Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 204
- 231
Tathmini zinaonyesha kwamba kuna uhimilivu mkubwa wa bei kwa bidhaa zinazozalishwa hapa nchini, huku hatua kadhaa zikichukuliwa na serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia Suluhu kupunguza athari zitokanazo na kupanda kwake kwa wananchi.
Serikali ya awamu ya sita imefanya jitihada kubwa za kuweka mazingira rafiki ya ufanyaji biashara nchini, kwa kuchukua hatua mbalimbali katika kudhibiti ongezeko la bei za bidhaa ikiwemo udhibiti wa upandishwaji holela wa bei.
Hatu zilizochukuliwa na serikali ni pamoja na :
Serikali ya awamu ya sita imefanya jitihada kubwa za kuweka mazingira rafiki ya ufanyaji biashara nchini, kwa kuchukua hatua mbalimbali katika kudhibiti ongezeko la bei za bidhaa ikiwemo udhibiti wa upandishwaji holela wa bei.
Hatu zilizochukuliwa na serikali ni pamoja na :
- kuimarisha uzalishaji wa ndani wa bidhaa ili kupunguza utegemezi wa kuagiza mahitaji muhimu kama vile vyakula kutoka nje ya nchi.
- Kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa wazalishaji wa ndani wa mafuta ya kupikia yaliyosafishwa kwa kipindi cha mwaka mmoja kwa lengo la kupunguza gharama za uzalishaji wa bidhaa hiyo nchini.
- Kuondoa VAT kwa wazalishaji wa mbole kwa kipindi cha mwaka mmoja ili kuwapunguzia wakulima gharama wazalishaji wa ndani wa unga wa ngano na kuleta unafuu wa bei katika soko la ndani.
- Serikali imepunguza kiwango cha ushuru wa forodha kutoka asilimia 35 hadi asilimia 10 kwa waagizaji wa ngano ili kuwapunguzia gharama wazalishaji wa ndani wa unga wa ngano na kuleta unafuu wa bei katika soko la ndani.