Kalemani ni muadilifu kuliko huyo mpiga dili wa bumbuliAlikuwa mwizi, aliwekwa pale kupiga dili za Jiwe!! Lakini vile vile hana uelewa wa kutosha kuendesha mradi wenye thamani ya tril 60 wa gas, wazungu wangekuwa wanampiga matobo kila siku na ushamba wake
Naona sukuma gang na wale wa ccm maslahi mnatoana rohoJikite kwenye hoja.
Maccm toaneni macho mbakie na madungu tuSio wananchi sema wewe ndio haujaelewa.
Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?
Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.
Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.
Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
Siku zote Magufuli alieleza sababu ya kutumbua alipokuwa akiapisha na ilikuwa desturi yake kuondoa minongono ,na ndio maana hapakuwepo questions, fuatilia clip zakeMume wako jiwe wakati anatumbua alikuwa anasema sababu?
Mpuuz wew, kwani huyo msukuma mwenzio kazaliwa awe waziri tu?!Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?
Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.
Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.
Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
Aliyewekwa sasa yumo kwenye mtandao wa aliyeshika "remote" ya kumwendesha mama kwa faida yake. Kumbuka ni mtandao wa mtu huyo huyo uliopiga "Richmond, IPTL, Dowans" n.k. Muda utaongea. Madili yatakayopigwa siku zijazo ni ya kufa mtu. Watz tutakoma. Kilangila.Inafikirisha sana.
Ni mshamba, hana exposure yoyote ya chochote. Hakuwa na maarifa yoyote ya kusimamia mashirika yanayotakiwa kufanya kazi kwa standard ya Dunia kama ilivyo Tanesco. The same to Biteko. Wote ni wanazengo, exposure yao mwisho Nyarugusu!Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?
Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.
Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.
Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
Sukuma Gang hilo achananalo, limetumwa na Kaleeemani,Kuna kipengele gani cha Katiba kinamshurutisha RAIS aseme ni kwanini ANAMTEUA/KUMTENGUA FULANI?!!!!
Mbona ulikuwa huhoji teuzi na tenguzi zilizofanywa na AWAMU YA 5?!!!
UNAFIKI HAUWASAIDII NINYI WATU
Unaacha kuwaombea wazee wako wale vipofu waone,eti unamuombea diktetaNi Sukuma Gang Yulee Mkuu
Mimi pia nis Sukuma Gang
Mzalendo wa Kweli Nchi hii JPM
RIP
Nitaenda kuitembelea Familia ya mkuu huyu
Nawaombea Mungu awape Rehema
Amen
Kama katiba haimtaki Rais atoe maelezo hayo basi sio lazima kwa yeye kumuiga mtangulizi wake maana wanapishana haiba, sijawahi kumsikia Mama akizungumza habari za mavi au nayo aige?Siku zote Magufuli alieleza sababu ya kutumbua alipokuwa akiapisha na ilikuwa desturi yake kuondoa minongono ,na ndio maana hapakuwepo questions, fuatilia clip zake
Unaweza teuliwa leo na kesho ukatenguliwa bila kosa wala kesi wala maelezo; ni jinsi tu mamlaka inavyojisikiliza siku hizo. Hiyo nayo ajira?Kwani ajira ni nini basi kama uwaziri siyo ajira?
Watu wanaangalia malipo na marupurupu unayopatiwa kama mlipo yako.Unaweza teuliwa leo na kesho ukatenguliwa bila kosa wala kesi wala maelezo; ni jinsi tu mamlaka inavyojisikiliza siku hizo. Hiyo nayo ajira?
BabuUnaacha kuwaombea wazee wako wale vipofu waone,eti unamuombea dikteta
Dikteta yupo kuzimuBabu
Mbona povu
Babu
Kwani tunapangiana babu kumwombea mtu
Mimi binafsi nimechagua JPM FAMILY
Kalemani ni nani kwenye nchi yenye takribani watu 70milion,Hivi wakati ule nape anatumbuliwa Kihuni na mwenda zake mliona sawa au kwasababu nape sio mchunga ng'ombe?Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?
Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.
Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.
Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.