HATUJAFANYA UTAFITI: SYNOVET
Kwa wale wenzangu ambao mnafuatilia vyombo vya habari, haijapita wiki mbili tangu kampuni ya Synovet ilipotamka wazi kuwa hawajafanya utafiti kuhusu wagombea wa Urais. Ndani ya juma moja, wametoa matokeo. Mbona wanajikanganya? Unaweza kufanya utafiti nchi nzima, kufanya uchambuzi wa makini na kuchapisha taarifa ndani ya juma moja? Je hii inawezekana?
Njia ya Mwongo siku zote ni fupiHata me nimeshindwa kuelewa!
Hata me nimeshindwa kuelewa!
Kama unaamini kuwa Synovate haijafanya utafiti basi at least ama kwa Kiswahili tunasema kwa uchache kubalini kuwa mgombea wenu Slaa na Mwenyekiti wenu wa Bills Club walikuwa wanadanganya pale walipowatangazia kuwa Synovate imefanya utafiti kuonyesha Slaa anaongoza huo utafiti. Lakini hili ni gumu kufanya kwani kufanya hivyo ni sawa na kujitia dole.
Usitulazimishe kukubali upupu jamaa yangu! Wao wenyewe ndo walijikanganya kuwatangazia wa-TZ kuwa hawajafanya utafiti halafu baada ya muda mfupi wanatoa takwimu za JK kuongoza ataongoza wapi bwana hata vijijini wameshastukia deal? Ni afadhali hata wangesubiri wakatoa matokeo yao wiki ya mwisho ya Oktoba tungewaelewa!! Hivi na huyu meneja wao mbona kama M-Kenya vile? Asituletee mambo ya huko kwao hapa bwana!!
Kama unaamini kuwa Synovate haijafanya utafiti basi at least ama kwa Kiswahili tunasema kwa uchache kubalini kuwa mgombea wenu Slaa na Mwenyekiti wenu wa Bills Club walikuwa wanadanganya pale walipowatangazia kuwa Synovate imefanya utafiti kuonyesha Slaa anaongoza huo utafiti. Lakini hili ni gumu kufanya kwani kufanya hivyo ni sawa na kujitia dole.