First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,312
- 1,475
<br />FB duh kuanika madhaifu hapa ni soo maana naweza kupoteza bahati ya kupendwa na mdada wa humu akijua kuwa labda mimi sipendi kuingia mhhhh kunako
<br />Mkuu ni noma kuexpress ur weakness in public like that and then u expect tomorrow to meet with someone from here mhh noumer
<br />huwezi ukawa mkamilifu kama wewe ni binadamu wa kawaida, lazima una madhaifu yako, mie sipendi mtu aguse masikio yangu
<br />Hahhahahaha Shantel <br />
Mi kisogo bana duh ni noumer
<br />FB na wewe ni wapi mbona unaruka ruka tuu
<br />Fb hebu sema na wewe wapi weakness yako zaidi ya ile uliyotoa
<br />No body is perfect. Mkuu kila mtu ana udhaifu wake. Mie nikipiga goli la kwanza lazima nilale japo kidogo.