Jinsi ulivyo Uchaguzi mkuu wa 2025 ni Mpya na wa aina yake
Katika Mazingira kama Haya lazima waibuke Fisi wanaotamani madaraka kabla ya majira yao
Tuzidi kuliombea taifa letu
Tunayoyashuhudia Sasa ni Mwanzo tu wa mengi yatakayojitokeza Siasani
Ahsanteni sana 🐼