Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 5,083
- 6,872
Inasikitisha na ina hatia hasira sana. Kinachoondelea Vodacom wanasoma meseji na kusikiliza maongezi ya wateja wao ambapo ni kinyume na sheria.
Vifurushi ninunue mm tena mniuzie kwa bei ghari na mnipangie cha kutuma. Kwann? Kila siku mnapandisha vifurushi na bado mnaingilia privacy za wateja wenu. Mnatafuta nini?
Leo mke wangu alisema ananitumia picha zake. Cha kushangaza kila nikiandika meseji hii 'amezituma whatsapp au facebook?' na meseji zinazofanana na hizo haziendi ila nikituma zingine zinaenda. Hilo hizo haziendi. Kwanini? Nimezituma tena na tena zimegoma kwenda. Kwanini?
Vodacom nyinyi kazi yenu ni kupeleka ujumbe, haijalishi una maudhui gani. Hayo mengine wala hayawahusu.
Mnabahati sana tuko kwenye dunia ya 3 ambapo sheria ametungiwa masikini. Tungekuwa dunia ya kwanza, ningewapeleka mahakamani na mngenilipa kwa kuniletea usumbufu. Siokoti hela, nazitafuta kwa jasho.
Hizi ni meseji zenye alama nyekundu. Zimeshindwa kwenda. Sasa hivi natuma meseji haziendi kabisa.
Vifurushi ninunue mm tena mniuzie kwa bei ghari na mnipangie cha kutuma. Kwann? Kila siku mnapandisha vifurushi na bado mnaingilia privacy za wateja wenu. Mnatafuta nini?
Leo mke wangu alisema ananitumia picha zake. Cha kushangaza kila nikiandika meseji hii 'amezituma whatsapp au facebook?' na meseji zinazofanana na hizo haziendi ila nikituma zingine zinaenda. Hilo hizo haziendi. Kwanini? Nimezituma tena na tena zimegoma kwenda. Kwanini?
Vodacom nyinyi kazi yenu ni kupeleka ujumbe, haijalishi una maudhui gani. Hayo mengine wala hayawahusu.
Mnabahati sana tuko kwenye dunia ya 3 ambapo sheria ametungiwa masikini. Tungekuwa dunia ya kwanza, ningewapeleka mahakamani na mngenilipa kwa kuniletea usumbufu. Siokoti hela, nazitafuta kwa jasho.
Hizi ni meseji zenye alama nyekundu. Zimeshindwa kwenda. Sasa hivi natuma meseji haziendi kabisa.