Hatuko Salama: Vodacom kuiingilia Privacy za wateja

Hatuko Salama: Vodacom kuiingilia Privacy za wateja

Wong Fei

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2016
Posts
5,083
Reaction score
6,872
Inasikitisha na ina hatia hasira sana. Kinachoondelea Vodacom wanasoma meseji na kusikiliza maongezi ya wateja wao ambapo ni kinyume na sheria.

Vifurushi ninunue mm tena mniuzie kwa bei ghari na mnipangie cha kutuma. Kwann? Kila siku mnapandisha vifurushi na bado mnaingilia privacy za wateja wenu. Mnatafuta nini?

Leo mke wangu alisema ananitumia picha zake. Cha kushangaza kila nikiandika meseji hii 'amezituma whatsapp au facebook?' na meseji zinazofanana na hizo haziendi ila nikituma zingine zinaenda. Hilo hizo haziendi. Kwanini? Nimezituma tena na tena zimegoma kwenda. Kwanini?

Vodacom nyinyi kazi yenu ni kupeleka ujumbe, haijalishi una maudhui gani. Hayo mengine wala hayawahusu.

Mnabahati sana tuko kwenye dunia ya 3 ambapo sheria ametungiwa masikini. Tungekuwa dunia ya kwanza, ningewapeleka mahakamani na mngenilipa kwa kuniletea usumbufu. Siokoti hela, nazitafuta kwa jasho.

Hizi ni meseji zenye alama nyekundu. Zimeshindwa kwenda. Sasa hivi natuma meseji haziendi kabisa.
2.png
3.png
4.png
5.png
 
Inasikitisha na ina hatia hasira sana. Kinachoondelea Vodacom wanasoma meseji na kusikiliza maongezi ya wateja wao ambapo ni kinyume na sheria.
Vifurushi ninunue mm tena mniuzie kwa bei ghari na mnipangie cha kutuma. Kwann? Kila siku mnapandisha vifurushi na bado mnaingilia privacy za wateja wenu. Mnatafuta nini?
Leo mke wangu alisema ananitumia picha zake. Cha kushangaza kila nikiandika meseji hii 'amezituma whatsapp au facebook?' na meseji zinazofanana na hizo haziendi ila nikituma zingine zinaenda. Hilo hizo haziendi. Kwanini? Nimezituma tena na tena zimegoma kwenda. Kwanini?
Vodacom nyinyi kazi yenu ni kupeleka ujumbe, haijalishi una maudhui gani. Hayo mengine wala hayawahusu.
Mnabahati sana tuko kwenye dunia ya 3 ambapo sheria ametungiwa masikini. Tungekuwa dunia ya kwanza, ningewapeleka mahakamani na mngenilipa kwa kuniletea usumbufu. Siokoti hela, nazitafuta kwa jasho
Hizi ni meseji zenye alama nyekundu. Zimeshindwa kwenda. Sasa hivi natuma meseji haziendi kabisa.
Hapo hakuna technical evidence ya ujumbe kusomwa. Kinachoonekana ni words filtering ambayo inaweza kuwa kwao au kwenye SMS application unayotumia.

Najua mara moja utajbu wewe hujaweka filter yoyote, unaweza kuwa sawa lakini kuna app bugs, hilo ni tatizo kwenye application unayotumia ambapo mara nyingi hutokea baada ya updates

Jaribu tena kutuma msgs hizo hizo kwa kutumia ROM default SMS app uone kama bado zitagoma
 
N mtandao upi ambao hauchunguzi taarifa za wateja wake.?
 
Punguza Ugolo mkuu, Sasa hapo Vodacom wamesoma meseji vipi ?


Kwanini usingeuliza unapotuma meseji haziendi tatizo ni Nini ili usaidiwe!?
 
Pika Mkuu mkeo ajee kulaaaa achana na vodacom
 
Ukweli ni kwamba usiamini company yoyote ya hapa Tz inayo operate kwa kanuni za serikali za nchi hii. Serikali ina nguvu yakuchukua data zako kutoka hayo makampuni bila ridhia yako.

Usitumie normal texts or calls kwa ishu zako nyeti na kujilinda. Unaweza tiwa lockup leo ukaenda kusomewa mashataka ya kila aina wakishapitia call and text history yako. Huu ndio ukweli mgumu
 
Ukitaka kuamini hilo....kubaliana na mtu kuhusu kutuma hela......utashangaa zinakuja sms za matapeli ile hela tuma huku
 
Punguza Ugolo mkuu, Sasa hapo Vodacom wamesoma meseji vipi ?


Kwanini usingeuliza unapotuma meseji haziendi tatizo ni Nini ili usaidiwe!?
Nilichoelewa mimi ni kuwa anadhani Vodacom wamesoma msg zake na walipoona maneno ''whatsup'' na ''facebook'' wakafanya yao msg zisiende. Hilo siyo sahihi. Zinatumwa msg nyingi sana kiasi ambachop hakuna uwezekano wa kusoma. Kinachoweza kufanyika ni kuchuja msg zenye maneno fulani zisiende. Japo sina uhakika kama hili wamefanya lakini uwezekano upo. Mwanzisha thread hebu jaribu kuandika msg zako na maneno yawe ''fesi-buku'' na ''wati-isi-apu'' uone. Ila tatizo linaweza kuwa simu yako. Sione sababu ya Voda kuzuia msg kama hizo.
 
Bado sijaelewa hata ni vipi umehusisha na kusomwa kwa meseji zako.
 
Inasikitisha na ina hatia hasira sana. Kinachoondelea Vodacom wanasoma meseji na kusikiliza maongezi ya wateja wao ambapo ni kinyume na sheria.

Vifurushi ninunue mm tena mniuzie kwa bei ghari na mnipangie cha kutuma. Kwann? Kila siku mnapandisha vifurushi na bado mnaingilia privacy za wateja wenu. Mnatafuta nini?

Leo mke wangu alisema ananitumia picha zake. Cha kushangaza kila nikiandika meseji hii 'amezituma whatsapp au facebook?' na meseji zinazofanana na hizo haziendi ila nikituma zingine zinaenda. Hilo hizo haziendi. Kwanini? Nimezituma tena na tena zimegoma kwenda. Kwanini?

Vodacom nyinyi kazi yenu ni kupeleka ujumbe, haijalishi una maudhui gani. Hayo mengine wala hayawahusu.

Mnabahati sana tuko kwenye dunia ya 3 ambapo sheria ametungiwa masikini. Tungekuwa dunia ya kwanza, ningewapeleka mahakamani na mngenilipa kwa kuniletea usumbufu. Siokoti hela, nazitafuta kwa jasho.

Hizi ni meseji zenye alama nyekundu. Zimeshindwa kwenda. Sasa hivi natuma meseji haziendi kabisa.
Au huna Vocha/Salio/Credit Mkuu??
 
Ukweli ni kwamba usiamini company yoyote ya hapa Tz inayo operate kwa kanuni za serikali za nchi hii. Serikali ina nguvu yakuchukua data zako kutoka hayo makampuni bila ridhia yako.

Usitumie normal texts or calls kwa ishu zako nyeti na kujilinda. Unaweza tiwa lockup leo ukaenda kusomewa mashataka ya kila aina wakishapitia call and text history yako. Huu ndio ukweli mgumu
Duniani kote mawasiliano yanakuwa tapped ukitaka acha kutumia mawasiliano ya kisasa urudi kwenye ujima. By way kama huvunji sheria za nchi kwa nini uwe na wasiwasi?
 
Back
Top Bottom