abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
Hii iwafikie uongozi wa Yanga ya kua Sisi Mashabiki Hatukubalian na wao kwa kumpa Mkataba Ajibu sabab ni Mchezaji ambae Alitudharau Sana Mpaka kufikia kiwango cha yeye kugomea mechi na kusema anaumwa uku baadae akionekana anacheza cha ndim
Yote ayo aliyafanya ili tu aondoke yanga likiwemo na lile la kuto kujituma ili tu uongoz uachane nae so Leo Nini kinamsukuma yeye kutaka Kuja yanga
Huwezi kujua Kuja kwake yeye Yanga Kuna mipango ipi sababu ni wazi Ajibu ni mshabik wa Simba
Yote ayo aliyafanya ili tu aondoke yanga likiwemo na lile la kuto kujituma ili tu uongoz uachane nae so Leo Nini kinamsukuma yeye kutaka Kuja yanga
Huwezi kujua Kuja kwake yeye Yanga Kuna mipango ipi sababu ni wazi Ajibu ni mshabik wa Simba