Hatulali chumba kimoja!!

hapo ndio huwa nakuloveee wakwetu kumbe umeonaeee.....na kuna mtu namhisi anatutwist ngoja niendelee na uchunguzi zaidi

heee wa kwetu umekuja kuwa FBI, NSA CIA ipi sasa....

chunguza Mkeku kisha utabaini.....
 
bwabwa alisema yeye ni mwanume rijali ila tu hilo jina alipewa utotoni kwa kuwa alipenda sana kula ubwbwa
yaani hata kama umepikwa kwa jirani basi anahamia huko.......


mbona kuna mabandiko yake mengi akikiri kuwa yeye ni shosti?
 
ni swali zuri....yaani anaweza kuniambia anasikia joto tukilala pamoja, au usiku mimi eti najamba jamba wakati sijambi na sio kweli
huyu mama huwa anauliza kitu wakati jibu analo,we BWABWA ndo una matatizo,ukitoka kupakuliwa ukirudi homu unaishia kumjambia mwenzio usiku kucha kashachoka na mashuzi huyo eeh.
 
mbona kuna mabandiko yake mengi akikiri kuwa yeye ni shosti?

Kiranja hebu jionee mwenyewe
ndo maana sielewi nini ndo nini

Absolutely right!! hata mimi nashangaa....
Bwabwa akimsapoti aBUNUWASI....

 
Achana nae tafuta mwingine , tena hadi utachoka kukubatiwa!
 
Hivi mnategemea mwanaume kamili aje hapa kulalamika kwamba mke wake hataki kulala nae?
 

hebu wasiliana na mwita maranya au mtu yoyote wa line ya "kure kwetu musoma".............. anaweza kuwa na viable solution............
 
wanasema;

Whenever you find someone acting on the extreme side know that he is compensating for something on the other side. Some adults strive for attention and pay any price just to get it.
 
Miezi sita Bwabwa ni mingi sana.. Jaribu kujua shida ni wewe au Binti wa Pangani..
 
1. Acha kabisa kufanya mambo asiyoyataka
2.badilika na mwambie hutarudia

baada ya muda, ni yeye atakae kuwa anakufuata kila unapokwenda.
 
Na hapa kuna kitu gani mnadiskasi leo? Aggrrrrrr! Ngoja nrudi dhangu kaunta. Mmefulia leo!
 
Thread za Bwabwa zote utata mtupu, ngoja siku nitafanya kazi ya kiziunganisha mjionee wenyewe.
 
pole mkuu! achana naye huyo anakuzingua tu!
 
jamani bwabwa anajua uchokozi maana hakuna post yake isiyo na utata...mambo ya ndugu yangu huyu ni yakuchefua tuuuu...post zake nyingi zina asili ya sodoma.
ila nakiri bwabwa ana moyo mgumu jamani maana anavyoshambuliwa na kutupiwa mabomu yupo tu na post zake za mrengo wa gomora.
mie bwabwa nampenda kusema kweli lkn ananisikitisha tu na hizi tabia zake jamani za usodoma.
bwabwa nitahakikisha nakuombea hadi mungu akutoe ktk kifungo hiki kibaya cha us--ge.
bwabwa tubu mpokee yehova ana uwezo wa kukufanya kidume cha mbegu na pumzi zote ulizopumuliwa usogoni akazifuta.

kama binti wa pangani analalamika kuwa unajambajamba basi ujue ni kweli na spring zako zote zimekatika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…