Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Ndiyo swali hilo? Tatizo mwisho tukishawapata wataalamu kadhaa mwisho wataanza kunata. I don't know; labda tutahitaji kusubiri wimbi kubwa la uhalifu wa kisasa ndio tutaona ulazima wa kuwa na wataalamu wa kutosha wa fani hii.
[/SIZE][/FONT]
Huo uhalifu wa kisasa ni upi? Lini umemuona kachero wa kitanzania akichukua fingerprint kwenye eneo la tukio? Leo mnazungumzia DNA. Mpaka leo tunapima umeme kwa kulamba, photocopiya inakaa kwa bosi halafu mnataka kutuletea huu upuuzi. Mnafanya mashara, nini?
Amandla.........
mmh.. nadhani umenisoma vibaya (sehemu ya kwanza haikutakiwa kuwa swali). Halafu kuzungumzia mambo haya ni kuleta upuuzi. Well.
forensic ni kitengo special ndani ya serikali, ambacho sio kwamba kinatolewa kama njugu vyuoni, kwani kama sio tu kwamba kina deal na criminal ishu ,kuna mambo mengine tu kinaungwa nayo. ukisoma pale muhimbili udaktari, miongoni mwa masomo ni forensic medicine mwaka wa nne, na naweza kusema, wanaelekeza vizuri sana,kwani ishu kubwa ni kuchukua historia ya matukio na sample. kw asasa inafanywa na pathologist wakishirikiana na mkemia mkuu wa serikali. mashine za uchunguzi zipo na viambata vyake. huyo dadako apitie kule, lakini lazima ajue sayansi namasomo ya muhas sio mchezo. so kama hamjui mambo tafadhari msiibeze Tanzania. kuna vitu vingi hamvijui lakini vipo. japo sio kwa kiwango mnachotaka.
I don't know why I'm bringing this topic back.. just for the sake of it, I guess.
Nimekupata,
Ila kuna kupishana sana kimawazo na kuelewa. Anachokisema Mzee mwanakijiji sidhani kama umempata. Najua kwenye uhalifu huwa kunahusishwa wataalamu wengi kutoka na uhalifu wenyewe. Ila wanaosomea forensics ya maswala ya uhalifu wanakuwa wamebobea kukamata wahalifu kwa kutumia sayansi. Hawa wanaweza kutumia wataalamu mbali mbali kukamilisha kazi yao. Maktari pale muhimbili hawasomi kutafuta au kuwabaini wahalifu, wao wanasoma udaktari. na wale wanaofanya Pathology sio wao watakupa majibu ya sample unazowapelekea halafu wataalamu wa uhalifu wanaunganisha dots.
Mzee mwanakijiji badale ya kupambana na wanaokupinga inabidi kwanza uwaeleshe nini unakisema. Tanzania haitaki kujiandaa kwa ajili ya uhalifu wa kimataifa na wa sayansi inayokuwa siku hadi siku.
Kuna dadangu mdogo mmoja anataka kuja kusomea mambo hayo ya forensics (nadhani amekuwa kiangalia CSI na NCSI too much) na sasa anataka kujifunza mambo hayo ili kusaidia katika mambo ya kupambana na uhalifu. Nimemuuliza kwanini asitafute Chuo TZ ambacho kinafundisha kozi hizo na nitamsaidia kugharimia.
Anarudi na kuniambia kuwa hajaona kozi yoyote ya mambo ya forensics kwa kiwango cha shahada. Sasa sijui hii ni kweli?
Nilipoangalia lile tukio la ujambazi Temeke na matukio mengine ya uhalifu ninajiuliza hivi tunatumia teknolojia gani au mbinu gani za kisasa katika sayansi ya mambo ya uhalifu (criminology)?
Je, ipo haja ya kuwa na watu waliosomea katika forensics ndani ya nchi au tutaendelea kuwapeleka nje ya nchi mmoja mmoja? Je, kwa yawezekena kwa UDSM kuanzisha kozi ya namna hiyo ambayo itavutia labda wanafunzi kutoka sehemu kubwa ya Afrika ya Mashariki na Kati hasa kutokana na uwepo wa uhalifu wa kila aina na vita badala ya kuendelea kutegemewa wakwe zetu kututumia forensics experts kila tunapopatwa na majanga makubwa?
Oh we are too poor to afford such a modern necessity in law enforcement?
wewe ndio bado hujui forensic science ni kitu gani,muhas wanasoma a ver smal part of it,hapa Africa B.sc forensic ni south africa ndio wanatoa,police kuna forensic department lakini sijui hata wanafanya kazi gani zaidi ya photograph na fingerprints devlpment,hakuna scientific investgtn hata kdg,kuhusu mkemia mkuu au pathologists kufanya kaz hzo,hii haijakaa vzur coz hawana ufahamu wa criminalistic na criminal laws na ina allow breach of evidence coz ni idara mbili tofauti,inabidi police waimalishe kitengo cha forensic kwa kupeleka watu nje kusoma msc forensic n bsc forensic,udsm kuna b.sc chemistry lakn bado haiko specific wanasoma coz kadhaa tu za forensic chemistry,mm naijua vzur hii field thats why i said that,we dnt have that thng in our country!forensic ni kitengo special ndani ya serikali, ambacho sio kwamba kinatolewa kama njugu vyuoni, kwani kama sio tu kwamba kina deal na criminal ishu ,kuna mambo mengine tu kinaungwa nayo. ukisoma pale muhimbili udaktari, miongoni mwa masomo ni forensic medicine mwaka wa nne, na naweza kusema, wanaelekeza vizuri sana,kwani ishu kubwa ni kuchukua historia ya matukio na sample. kw asasa inafanywa na pathologist wakishirikiana na mkemia mkuu wa serikali. mashine za uchunguzi zipo na viambata vyake. huyo dadako apitie kule, lakini lazima ajue sayansi namasomo ya muhas sio mchezo. so kama hamjui mambo tafadhari msiibeze Tanzania. kuna vitu vingi hamvijui lakini vipo. japo sio kwa kiwango mnachotaka.
wewe ndio bado hujui forensic science ni kitu gani,muhas wanasoma a ver smal part of it,hapa Africa B.sc forensic ni south africa ndio wanatoa,police kuna forensic department lakini sijui hata wanafanya kazi gani zaidi ya photograph na fingerprints devlpment,hakuna scientific investgtn hata kdg,kuhusu mkemia mkuu au pathologists kufanya kaz hzo,hii haijakaa vzur coz hawana ufahamu wa criminalistic na criminal laws na ina allow breach of evidence coz ni idara mbili tofauti,inabidi police waimalishe kitengo cha forensic kwa kupeleka watu nje kusoma msc forensic n bsc forensic,udsm kuna b.sc chemistry lakn bado haiko specific wanasoma coz kadhaa tu za forensic chemistry,mm naijua vzur hii field thats why i said that,we dnt have that thng in our country!
Mhh....na wewe ndugu yangu una visa! na bado visa vitaongezeka. Watanza kukwambia hatuna kitengo kinachohusaiana na Ushushu wa kiuchumi pamoja na kuimba Diplomasia ya Uchumi......
Ukiwa na Advance Diploma ya Forensic science unaweza ukakosa kazi kabisa.Tanzania,tunakuwa kama vile tunaishi kwenye kisiwa.infact,chuo cha Diplomasia Kurasini walitakiwa wawe na hicho kitengo ikiwa watatoa shahada za uzamili,vyuo vingine vinazo hizi department na ni compulsory na hata pengine walistahili kushirikiana na Muhimbili au hiki chuo kipya cha kijeshi kinatakiwa kiwe nayo lakini hata syllabus zao nimeziona so far,bado ni syllabus ambazo hazikidhi maswala ya kijeshi ya kisasa na intelligensia inayoendana na wimbi la uhalifu wa kisasa katika uchumi,siasa na jinai.Infact hiki chuo kipya kinastahili kuwa na idara nyingi nyeti tujikite katika strategies,paramillitary deployment ni matokeo ya strategic planning lakini ukiangalia syllabus yao kwa kweli bado tuna masihara sana kwenye maswala ya usalama
BTW: Hebu mkuu nitafutie chuo nikamalizie project yangu ya Defence and strategic studies,criminology and adhoc intelligence
wewe ndio bado hujui forensic science ni kitu gani,muhas wanasoma a ver smal part of it,hapa Africa B.sc forensic ni south africa ndio wanatoa,police kuna forensic department lakini sijui hata wanafanya kazi gani zaidi ya photograph na fingerprints devlpment,hakuna scientific investgtn hata kdg,kuhusu mkemia mkuu au pathologists kufanya kaz hzo,hii haijakaa vzur coz hawana ufahamu wa criminalistic na criminal laws na ina allow breach of evidence coz ni idara mbili tofauti,inabidi police waimalishe kitengo cha forensic kwa kupeleka watu nje kusoma msc forensic n bsc forensic,udsm kuna b.sc chemistry lakn bado haiko specific wanasoma coz kadhaa tu za forensic chemistry,mm naijua vzur hii field thats why i said that,we dnt have that thng in our country!
hapo bolded huko sahihi sana, natena ukiwa unamesomea hayo mambo nje unaweza ukabatizwa ushushu wakotaka nje yani kama umesomma marekani utaambiwa umetumwa na CIA na kama uingereza utakuwa umetumwa na MI6.
hila watu wanatakiwa waelewe kwamba tanzania sio kisiwa kabisa kuna mambo hatutaweza kuyakwepa wala kuzuia kujaribu kuzuia ni kama kujaribu kuzui kimbunga na mikono, hatari kweli kweli
Na sasa Criminology na peanology hasa ndiyo inayowahusu hawa wanaojiita big fish,untouchable suspects(criminals).Kwenye syllabus ambazo nimeziona hakuna penitentiary science.bado tunataka kujiita tunajenga modern millitary academy.
Kuna chuo kizuri India kinaitwa Annamalai kinafundisha forensic Science kwa ada nafuu sana kwa nchi zinazoendelea.
Na sasa Criminology na peanology hasa ndiyo inayowahusu hawa wanaojiita big fish,untouchable suspects(criminals).Kwenye syllabus ambazo nimeziona hakuna penitentiary science.bado tunataka kujiita tunajenga modern millitary academy.
Kuna chuo kizuri India kinaitwa Annamalai kinafundisha forensic Science kwa ada nafuu sana kwa nchi zinazoendelea.
mkuu Ben
mimi nadhani tunahitaji independent and private prosecutors kwenye mfumo wetu wa mashitaka katika mahakama
nakumbuka kesi ya marehemu Robert Ouko wa kenya kulikuwa na hired private investigator kutoka UK, Scotland yard bwana Troon valiyefanya upelelezi wa kina na kugundua chanzo cha kifo ambacho bwana Nicholous Biwot alihusishwa . kilichofunika jitihada hizo ni kukosekana kwa private/independent prosecutor hivyo public prosecutor ( state prosecutor) conspired to pervert the ends of justice, wakaipotosha ripoti ya Troon