Jensen salamone
JF-Expert Member
- Sep 28, 2019
- 320
- 641
Asubuhi na mapema leo Serikali imesitisha mbio za mwenge mwaka huu 2020 kama moja ya strategy za kukabiliana na ugonjwa wa Corona, COVID-19. Nakubaliana na uamuzi huo lakini hatujajipanga!
Tumesitisha mbio za mwenge ila mipaka ya nchi ipo wazi kuruhusu wageni kuingia na kutoka!
Kama hiyo haitoshi bado serikali imeruhusu mikusanyiko mingine kuendelea mfano halisi ni mamia ya watu walio hudhuria pale ubungo interchange kumsikiliza mh. Rais.
Mbali na hilo mikusanyiko mingine inafanyika kwenye taasisi za umma kama vile mashule, makanisa n.k
Je, tumedhamiria kweli kukabiliana na virusi vya Corona AU hatuna hela za kugharamia mbio za mwenge mwaka huu?
Kupigwa marufuku mbio za mwenge linaweza kuwa mwendelezo mwa mambo mengi yatakayositishwa huu mwaka
Mengine ni kusitisha nyongeza ya mishahara kwa wafanya kazi, ajira mpya n.k shida si COVID-19 bali kukusanya pesa kwaajili ya uchaguzi mkuu unaotegemewa kufanyika october.
Endapo hela isipopatikana basi uchaguzi utakuwa postponed kwa kisingizio cha corona kama walivyopiga marufuku ya mbio za mwenge? Muda utasema!!
Tumesitisha mbio za mwenge ila mipaka ya nchi ipo wazi kuruhusu wageni kuingia na kutoka!
Kama hiyo haitoshi bado serikali imeruhusu mikusanyiko mingine kuendelea mfano halisi ni mamia ya watu walio hudhuria pale ubungo interchange kumsikiliza mh. Rais.
Mbali na hilo mikusanyiko mingine inafanyika kwenye taasisi za umma kama vile mashule, makanisa n.k
Je, tumedhamiria kweli kukabiliana na virusi vya Corona AU hatuna hela za kugharamia mbio za mwenge mwaka huu?
Kupigwa marufuku mbio za mwenge linaweza kuwa mwendelezo mwa mambo mengi yatakayositishwa huu mwaka
Mengine ni kusitisha nyongeza ya mishahara kwa wafanya kazi, ajira mpya n.k shida si COVID-19 bali kukusanya pesa kwaajili ya uchaguzi mkuu unaotegemewa kufanyika october.
Endapo hela isipopatikana basi uchaguzi utakuwa postponed kwa kisingizio cha corona kama walivyopiga marufuku ya mbio za mwenge? Muda utasema!!