Uchaguzi 2020 Hatutafurahi kumuona Rais Magufuli high table ya viongozi baada ya kustaafu

Uchaguzi 2020 Hatutafurahi kumuona Rais Magufuli high table ya viongozi baada ya kustaafu

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Iwekwe kanuni kwamba kiongozi yeyote wa kitaifa akiharibu katika awamu yake asikaribishwe kabisa kwenye hafla za kitaifa Wala kuonekana kwenye meza kuu.

Mtu kama amelitia taifa kwenye shida kwanini akaribishwe meza kuu kwenye sherehe za kitaifa.

Nimatumaini yangu sitegemei kumuona Rais Magufuli kwenye hafla za kitaifa baada ya 2020 maana mtakuwa mnatukumbusha machungu ambayo tutakuwa tumeshaanza kuyasahau by that time.
 
Pamoja na ugonjwa uliomuondoa jpm kujulikana lakini namna yake ya uongozi iliharakisha tabiri mbalimbali za anguko lake nyuzi kama hizi ambazo tuliziona za kawaida kumbe zilikuwa Sala tosha mbele ya Mungu. Wanasiasa mjitafakari sana mnaposhika madaraka.
 
Mungu hakumpa nafasi ya kustahafu.
 
Iwekwe kanuni kwamba kiongozi yeyote wa kitaifa akiharibu katika awamu yake asikaribishwe kabisa kwenye hafla za kitaifa Wala kuonekana kwenye meza kuu.

Mtu kama amelitia taifa kwenye shida kwanini akaribishwe meza kuu kwenye sherehe za kitaifa.

Nimatumaini yangu sitegemei kumuona Rais Magufuli kwenye hafla za kitaifa baada ya 2020 maana mtakuwa mnatukumbusha machungu ambayo tutakuwa tumeshaanza kuyasahau by that time.
Sasa Yupo high table ya mbinguni kama kiongozi wa malaika. Hiyo high table yenu ya kinafiki kaeni nyie
 
Back
Top Bottom