Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Mi nlidhani hao ni mabrazamen!

mabrazamen suruali chini ya GOTI...18-25 yrs
KUKONYEZA VBABU 50+
kuhonga ma anko ako 34-40
kuimbisha imbisha maneno meeng wakaka kaka 26-33
karibu ndizi...vp umemkubalia mwenzio?
 
Lazima mumzodoe mwanamke mwenzenu kwa sababu eti nasikiaga wanawake wasipotongozwa wanajisikiaga vibaya na nafikiri ndo maana nyie akina dada mwamshangaa mwenzenu aliyetoa habari hizi. Yawezekana mwenzenu huyu hapendi hayo mambo jamani

hatujisikii vbaya
its just wisdom is crucial wakat unatongozwa ukiangalia waitaj nini kwa mhusika mtongozaji
km umempenda pia poaaaaaaaaaaaaaa km anakutia kinyaa unamtimua kwa upole then RIP
bt ni issue ndogo sana
nb;
kuna watu wana tongoza mpka wanaboa ni wasumbufu kushinda kunguni na ndischo kilichomkuta mwenzetu ndo mana kaamua kumwambia hadharan AKOME....na amwache..ampe pumzi mwana wa mwanaume mwenzake...
 
Lazima mumzodoe mwanamke mwenzenu kwa sababu eti nasikiaga wanawake wasipotongozwa wanajisikiaga vibaya na nafikiri ndo maana nyie akina dada mwamshangaa mwenzenu aliyetoa habari hizi. Yawezekana mwenzenu huyu hapendi hayo mambo jamani

Lakini Mvumbuzi kama umetongozwa ni wajibu wako kukataa au kukubali
Kila sehemu wanatongoza ,makazini .mahospitalini ,makanisani,sokoni NK NK
Kwani kuitwa JF member ndo inazuia kuondoa hisia zako?
 
Naogopa kukudai baada ya two weeks ukirudi kutoka moro kwa francis cheka naweza kuambulia makonde
 

Lazima binadamu aliyekamilika na anayetaka kuheshimika katika jamii awe na code of conduct. Kulewa na kunywa ni vitu tofauti. Mtu yeyote mwenye busara hawezi kutetea mlevi kwani madhara yake yanafahamika siyo tu kwa afya bali hata kwa uchumi wa mtu binafsi, familia yake na jamii inayomzunguka. Mojawapo ya matatizo makubwa katika jamii leo yanasababishwa na ulevi mf. mtu akilewa hawezi kuji control na ni rahisi kufanya ngono zembe na kusababisha siyo tu watoto wa mitaani bali kuongezeka kwa HIV/AIDS. Madhara ni mengi siwezi orodhesha yote hapa. Mtu ajithibiti kunywa na siyo kubugia mpaka unakosa balance ya akili na mwili.
 
Lazima mumzodoe mwanamke mwenzenu kwa sababu eti nasikiaga wanawake wasipotongozwa wanajisikiaga vibaya na nafikiri ndo maana nyie akina dada mwamshangaa mwenzenu aliyetoa habari hizi. Yawezekana mwenzenu huyu hapendi hayo mambo jamani

hazodolewi anaeleweshwa. Mbona aliowakubalia hajaja kusema hapa.
Wanawake wengine ndio walivyo. Kwa asiyempenda utasikia muone yule kila siku ananitongoza. Ila kwa aliyemkubali hasemi ng'o.
 
LoL Kumbe na hii ya kutongozana huwa inatokea ?? sijawahi ku exprience .uchunguzi zaidi unahitajika

ivi ukitongozwa supa maket unaenda kushtak/kusema wap?
nipashe au daily news?au tbc?
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

Lakini pia u neva know hawa watu bwana labda walikuwa wanatest msimamo wako ..ukilegea ndo basi tena ....i beg i beg yoo
 
mabrazamen suruali chini ya GOTI...18-25 yrs
KUKONYEZA VBABU 50+
kuhonga ma anko ako 34-40
kuimbisha imbisha maneno meeng wakaka kaka 26-33
karibu ndizi...vp umemkubalia mwenzio?
Hapo wanaofaa ni maanko..hamna maneno mengi wala ubishoo!!Asante dia..karibu na wewe tule majani kidogo!Mmh nikimkubalia baba mchungaji ataliwazwa na nani?
 
ivi ukitongozwa supa maket unaenda kushtak/kusema wap?
nipashe au daily news?au tbc?


hahaha unaenda kushitaki kwa meneja wa supa maket kwamba mmoja wa wafanyakazi wako alikuwa anitongoza nitaacha kuja tena hapa..
Kumbe huyu alitakiwa amshitaki mhusika kwa Invisible :A S 39:
 

Hapa nimekupata , kumbe men nyingine basi hazijui kusoma ramani. Ila na nyie akina dada hamko straight kumweleza mtu kavukavu kwamba " bwana siwezi kukupa unachotaka nenda kwa wauzaji"
 

Mmmmm, kuna mtu nilitaka kumgonga TF mwambie nimecha asije akanianzishia na mimi li Thread bureeee!

Hata hivo sioni sababu ya mambo haya kuletwa hapa, na kibaya zaidi ni vile unakuta kuna mtu amelengwa/kusudiwa kabisa ktk hilo.
Kama wewe umri wako ni chini ya miaka 18, nitafute tuongee.

Halafu pia sijajua vizuri lengo lako, unataka kumuabisha huyo mtu, unatuambia wewe hutongozwi, au unatongozwa lakini ubaya ni vile amekuwa wa hapa JF. Ok, una akili zako, msimamo wako, utashi wako, na uwezo wako wa kuchagua mambo??

JIAMINI< JIHESHIMU<JITAMBUE> kwa hisani ya LD.
 
Lakini Mvumbuzi kama umetongozwa ni wajibu wako kukataa au kukubali
Kila sehemu wanatongoza ,makazini .mahospitalini ,makanisani,sokoni NK NK
Kwani kuitwa JF member ndo inazuia kuondoa hisia zako?

Well said mama wa kwanza,,,,blessings
 

Tangu nikufahamu leo umeongea point kubwa mno tena huyu anaweza hata kuleta mambo ya jandoni/unyagoni mbele za watu. Hivi wote wanaomtongoza huwa anakuja kushitaki hapa. Halafu hebu na hekima kidogo mwanaume akiwa JF asitongoze?? Si mwanaume kama mwanaume wengine??? Wewe kama hutaki kataaa kwani kakushikia bastola?? au kisu?? Acha hizo bwana kutongozwa mwanamke kawaida tu.
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

Join Date Fri Jan 2011, Posts 88, Thanks 0Thanked 10 Times in 10 PostsRep Power 21Sory nilikuwa sijaona tumsamehe bure
 
inferiority complex yako ya pombe usitake kuaminisha wengi hivyo hauwezi ukakutana na mtu just bcoz u dont drink basi na yeye unataka asinywe be realistic basi usitake kufanya jf ndio suluhisho la matatizo yako yaani kila tatizo unalileta jf watch out and be careful.
 
Anajua asemalo,yawezekana kuna wasichana wamemwambia kuwa wametongozwa na fulani na fulani kwa kuwa kuna wakati inachosha,mi najua wapo watu wa namna hiyo....
Hatuhitaji kwenda chemba kusema hayo,napoteze muda kujibu watu ,hapa hapa,ACHENI MNABOA!!!!Mtu ameoa kabisa na anasema,sasa kwangu wataka nini???
Ujumbe uwafikie,dedication: I DO NOT NEED A MAN-PUSSYCAT DOLLS.:lying:
 
Lazima mumzodoe mwanamke mwenzenu kwa sababu eti nasikiaga wanawake wasipotongozwa wanajisikiaga vibaya na nafikiri ndo maana nyie akina dada mwamshangaa mwenzenu aliyetoa habari hizi. Yawezekana mwenzenu huyu hapendi hayo mambo jamani


Kweli kaka hapo umenena! we mtu anatoka kwa huyu, then anaenda kwa yule, then anakuja kwangu na yote hayo anafanya mbele yako! sasa c apeleke nguvu zake sehemu moja jamani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…