Mi nlidhani hao ni mabrazamen!
Lazima mumzodoe mwanamke mwenzenu kwa sababu eti nasikiaga wanawake wasipotongozwa wanajisikiaga vibaya na nafikiri ndo maana nyie akina dada mwamshangaa mwenzenu aliyetoa habari hizi. Yawezekana mwenzenu huyu hapendi hayo mambo jamani
Lazima mumzodoe mwanamke mwenzenu kwa sababu eti nasikiaga wanawake wasipotongozwa wanajisikiaga vibaya na nafikiri ndo maana nyie akina dada mwamshangaa mwenzenu aliyetoa habari hizi. Yawezekana mwenzenu huyu hapendi hayo mambo jamani
Naogopa kukudai baada ya two weeks ukirudi kutoka moro kwa francis cheka naweza kuambulia makondenidai pipi.
ni swala la kumalizana uko pemben...wangapi wanatutongoza njkian?
au kutongozwa na mwana jf ni crime?
dahh sjui bt i thk izi issue nyngne kdg hazijakaa poa..
kutongozwa ni kawaida saaaaaaaaaaana ni swala la yes o noo bt si swala la kuundia tume.
tatizo lenu mambo ya bar na yenyewe mnataka kuleta JF acheni kukompliketi mambo kama mwenzako anakunywa wewe haunywi isikupe shida simama then chapa lapa, ukitongozwa una haki ya kukubali au kukataa wewe ni mtu mzima ndio hizi thread nilizokuwa nasema awali ohoo sijui fulani analewa sana mara fulani kanitongoza so what? Tufanyeje nyie ni watu wazima na akili zenu so think tafakari kisha chukua hatua.
Lazima mumzodoe mwanamke mwenzenu kwa sababu eti nasikiaga wanawake wasipotongozwa wanajisikiaga vibaya na nafikiri ndo maana nyie akina dada mwamshangaa mwenzenu aliyetoa habari hizi. Yawezekana mwenzenu huyu hapendi hayo mambo jamani
LoL Kumbe na hii ya kutongozana huwa inatokea ?? sijawahi ku exprience .uchunguzi zaidi unahitajika
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?
Habari yako SLOWER LEANERDena utanielewesha maana hapa nimekuwa slow learner ghafla!!!!!!!!!!!!!
Hapo wanaofaa ni maanko..hamna maneno mengi wala ubishoo!!Asante dia..karibu na wewe tule majani kidogo!Mmh nikimkubalia baba mchungaji ataliwazwa na nani?mabrazamen suruali chini ya GOTI...18-25 yrs
KUKONYEZA VBABU 50+
kuhonga ma anko ako 34-40
kuimbisha imbisha maneno meeng wakaka kaka 26-33
karibu ndizi...vp umemkubalia mwenzio?
ivi ukitongozwa supa maket unaenda kushtak/kusema wap?
nipashe au daily news?au tbc?
hatujisikii vbaya
its just wisdom is crucial wakat unatongozwa ukiangalia waitaj nini kwa mhusika mtongozaji
km umempenda pia poaaaaaaaaaaaaaa km anakutia kinyaa unamtimua kwa upole then RIP
bt ni issue ndogo sana
nb;
kuna watu wana tongoza mpka wanaboa ni wasumbufu kushinda kunguni na ndischo kilichomkuta mwenzetu ndo mana kaamua kumwambia hadharan AKOME....na amwache..ampe pumzi mwana wa mwanaume mwenzake...
tatizo lenu mambo ya bar na yenyewe mnataka kuleta JF acheni kukompliketi mambo kama mwenzako anakunywa wewe haunywi isikupe shida simama then chapa lapa, ukitongozwa una haki ya kukubali au kukataa wewe ni mtu mzima ndio hizi thread nilizokuwa nasema awali ohoo sijui fulani analewa sana mara fulani kanitongoza so what? Tufanyeje nyie ni watu wazima na akili zenu so think tafakari kisha chukua hatua.
Lakini Mvumbuzi kama umetongozwa ni wajibu wako kukataa au kukubali
Kila sehemu wanatongoza ,makazini .mahospitalini ,makanisani,sokoni NK NK
Kwani kuitwa JF member ndo inazuia kuondoa hisia zako?
tatizo lenu mambo ya bar na yenyewe mnataka kuleta JF acheni kukompliketi mambo kama mwenzako anakunywa wewe haunywi isikupe shida simama then chapa lapa, ukitongozwa una haki ya kukubali au kukataa wewe ni mtu mzima ndio hizi thread nilizokuwa nasema awali ohoo sijui fulani analewa sana mara fulani kanitongoza so what? Tufanyeje nyie ni watu wazima na akili zenu so think tafakari kisha chukua hatua.
Habari yako SLOWER LEANER
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?
inferiority complex yako ya pombe usitake kuaminisha wengi hivyo hauwezi ukakutana na mtu just bcoz u dont drink basi na yeye unataka asinywe be realistic basi usitake kufanya jf ndio suluhisho la matatizo yako yaani kila tatizo unalileta jf watch out and be careful.lazima binadamu aliyekamilika na anayetaka kuheshimika katika jamii awe na code of conduct. Kulewa na kunywa ni vitu tofauti. Mtu yeyote mwenye busara hawezi kutetea mlevi kwani madhara yake yanafahamika siyo tu kwa afya bali hata kwa uchumi wa mtu binafsi, familia yake na jamii inayomzunguka. Mojawapo ya matatizo makubwa katika jamii leo yanasababishwa na ulevi mf. Mtu akilewa hawezi kuji control na ni rahisi kufanya ngono zembe na kusababisha siyo tu watoto wa mitaani bali kuongezeka kwa hiv/aids. Madhara ni mengi siwezi orodhesha yote hapa. Mtu ajithibiti kunywa na siyo kubugia mpaka unakosa balance ya akili na mwili.
Lazima mumzodoe mwanamke mwenzenu kwa sababu eti nasikiaga wanawake wasipotongozwa wanajisikiaga vibaya na nafikiri ndo maana nyie akina dada mwamshangaa mwenzenu aliyetoa habari hizi. Yawezekana mwenzenu huyu hapendi hayo mambo jamani