Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!


hahaha,,issue si wewe kuwa mkali hapo,issue ni wewe uache mara moja tabia yako ya ufataki,,lol!

i see unrealistic things here..............
 


Mpendwa kumbe na wewe ushatongozwa
Ila kwako nadhani ni muda muafaka wakati wanakutongoza wewe unawamwagia neno la mungu lenye upako
Amen
 

Huyo mpotezee tuuuu
 
Join Date Fri Jan 2011, Posts 88, Thanks 0Thanked 10 Times in 10 PostsRep Power 21Sory nilikuwa sijaona tumsamehe bure

Ucjali wengine tuna macho lakini hajaoni!
 
Jamani wanaume wa JF ni walewale wakiwa wapa (JF) na wakiwa mtaani, hivyo hisia zao kwa madada bado ni zilezile.
Akikutongoza usiseme mwanamme wa JF kanitongoza,

Halafu ni vizuri yahuko mkayaacha hukohuko, kama ulimpa za uso haina shida.
Mnanifanya niogope kuwatafuta madada wa JF, au tuulizane umri kwanza kabla ya kukutana face2face?
 
Kuna vitu vingine kumshauri mtu unapoteza energy ya vidole vyako kwenye keyboard kwa kitu ambacho ni rahisi yeye kutambua
 
kwani kutongozwa ajabu wajameni??au kisa umetongozwa na mwanaJF ndo imekuwa issue?
 

Well said. Wakati wanaalikana mbona hakuja kutuambia yamemfika ndo analalamika
 
Niliwahi kuuliza humu ndani,hivi kutongoza ni kosa?Wadau asilimia kubwa wakanijibu kuwa kutongoza sio kosa,sasa kama sio kosa haya yote yanatoka wapi?Mtu si amekutongoza tu.
 
hahaha,,issue si wewe kuwa mkali hapo,issue ni wewe uache mara moja tabia yako ya ufataki,,lol!

I see unrealistic things here..............
nashukuru nilipoku approach ukanipiga kibuti haukunianzishia thread,halafu natumaini kimey hajui hakikisha haoni hii asije akatoka usalule na mapanga
 
ha ha ha!at last!habari yangu fast learner ni nzuri hofu kwako mnoko wangu since i mcd u
Kuna mtu Mi nikimwita anasema mgonjwa taabani...lakini dakika yuko majukwaani anachonga na akina Ze Finest...Au ndo meseji sent kiaina nini...ndo mambo ya dada Trust Me haya!..huh!............Nimeelewa bana!
 
Mpendwa kumbe na wewe ushatongozwa
Ila kwako nadhani ni muda muafaka wakati wanakutongoza wewe unawamwagia neno la mungu lenye upako
Amen

Unajua sijui wanaangalia nini,coz kabisa anasema nimeoa but but but but.....................
Bora utongozwe na watu wasio na ndoa but mtu ameoa,do we look or sound like home-breaker's?????
Hell No!GOD FORBID!!
 
Nikiangalia kutoka upande mwingine naona hapa kuna kitu kingine kati ya huyu bidada na mtuhumiwa.
Kutongozwa sio kasa (naamini hata mleta maada anakubali), sasa kosa liko wapi?
Awe muwazi, kama walikuwa wawili wanagombea mwenzake kaopoa halafu yeye hasira zake analeta hapa aseme pia, kwani tupo wengine pia.
 

Haya mapoint yote ni yako haiwezekani. Mmmhh leo naona huna HO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…