Nikiangalia kutoka upande mwingine naona hapa kuna kitu kingine kati ya huyu bidada na mtuhumiwa.
Kutongozwa sio kasa (naamini hata mleta maada anakubali), sasa kosa liko wapi?
Awe muwazi, kama walikuwa wawili wanagombea mwenzake kaopoa halafu yeye hasira zake analeta hapa aseme pia, kwani tupo wengine pia.
Well said. Wakati wanaalikana mbona hakuja kutuambia yamemfika ndo analalamika
nashukuru nilipoku approach ukanipiga kibuti haukunianzishia thread,halafu natumaini kimey hajui hakikisha haoni hii asije akatoka usalule na mapanga
Unajua sijui wanaangalia nini,coz kabisa anasema nimeoa but but but but.....................
Bora utongozwe na watu wasio na ndoa but mtu ameoa,do we look or sound like home-breaker's?????
Hell No!GOD FORBID!!
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?
Hapo wanaofaa ni maanko..hamna maneno mengi wala ubishoo!!Asante dia..karibu na wewe tule majani kidogo!Mmh nikimkubalia baba mchungaji ataliwazwa na nani?
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?
Kabisa inawezekana mihasira yake yote anataka kuimalizia hapa. Sababu mie sioni kosa la mtongozaji PM ipo mtumie hayo maneno roho yako itulie
Naogopa kukudai baada ya two weeks ukirudi kutoka moro kwa francis cheka naweza kuambulia makonde
Kabisa inawezekana mihasira yake yote anataka kuimalizia hapa. Sababu mie sioni kosa la mtongozaji PM ipo mtumie hayo maneno roho yako itulie
Si lazima muwe mmealikana wala kukutana,personally nimepata PM za hao watu,na sijawahi kukutana na hata member mmoja wa JF,wanasema wenyewe through PM's....na hapa halalamiki mtu,kinachosemwa ni si tabia nzuri,iachwe!!!PERIOD.
Aisee hii kitu imekula kwangu....basi bidada nitaacha kukutongoza....:A S 39:
basi ngoja nkutongoze mimi...utashtak kwan?Aisee hii kitu imekula kwangu....basi bidada nitaacha kukutongoza....:A S 39:
Hivi Dena kutongozwa ni ajabu ama ni kitu kipya???hebu naomba jibu maana simuoni fainest
nashukuru nilipoku approach ukanipiga kibuti haukunianzishia thread,halafu natumaini kimey hajui hakikisha haoni hii asije akatoka usalule na mapanga
basi ngoja nkutongoze mimi...utashtak kwan?
rr MINAKUPENDA..unasemeje sasa?
nataka NIKUOE,.......:smile-big:
NTAKUNUNULIA πlane:
NA SHOPING KILA WIK DUBAI
basi ngoja nkutongoze mimi...utashtak kwan?
rr MINAKUPENDA..unasemeje sasa?
nataka NIKUOE,.......:smile-big:
NTAKUNUNULIA πlane:
NA SHOPING KILA WIK DUBAI
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?
Eeeh kumbe ni wewe ST RR ngoja na mwingine atokeee huyu sijui atakuwa Fidel80 au Asprin:A S 39: