Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!


Acha kulia basi bana na wewe aaakkhh mkubwa sasa.
Sasa swali langu dogo tu walitongozeana hapa??
Si ni kwenye PM?? Naona kama ni vyema wakamaliziana huko hukoooo au unaonaje Michelle usilie lakini tafadhali nakusihi sana
 
Kuna sredi nyingine babu kama mimi nikichangia, nazidi kupunguza hizi siku chache za kuishi zilizobakia.

Ngoja nirudi zangu kitandani.
 

Pearl ndo maana ukawa lulu,,love u gal.Thanks for the wonderful post
 
Kudelete bila kusoma zinachosha unasoma heading tu unachoka uanona ya nini??? Za muhimu unazijua.

Kama hutaki si umkatalie huko alikokutongozea kwani ilikuwa hapa???

Wewe huwezi panga wapi mtu aseme jambo lake na ndo maana unaona thread nyingine ni vitu personal tena vya kumuhusu mtu mmoja but mtu anaitengenezea thread,ni hii ishu amabyo wengi wamekutana nayo????
Kama unasema simtaki ni-delete mgs zake,we unaona ubaya gani nikazidelete na nikasema kuwa sipendi hiyo tabia,kwa kuwa hayuko mmoja hapa,mwenye thread amesema mibaba,wako zaidi ya mmoja,mtu hawezi kaa anajibu PM muda wote.
Uhuru wa kusema upo,hamna mtu katajwa jina,na wala sheria za JF hazijavunjwa!!!!
 
Kuna sredi nyingine babu kama mimi nikichangia, nazidi kupunguza hizi siku chache za kuishi zilizobakia.

Ngoja nirudi zangu kitandani.

Bora maanake hapa hapakuhusu sababu wewe si FATAKI
 

Ha ha ha ha hiyo imetulia
 
Acha kulia basi bana na wewe aaakkhh mkubwa sasa.
Sasa swali langu dogo tu walitongozeana hapa??
Si ni kwenye PM?? Naona kama ni vyema wakamaliziana huko hukoooo au unaonaje Michelle usilie lakini tafadhali nakusihi sana

Katika vitu vigumu kwangu ni kutongozwa,there is a way sipendi tu,sasa na mtu akija tena na nimeoa?????lazima nilie tu mimi
I might be strong but on kutongozwa,am not,kwanza naona kama namuumiza mtu,so inanibidi kumua avoid tu Dena,unampotezeaje????
:crying::crying::crying::crying:
 
Kweli kaka hapo umenena! we mtu anatoka kwa huyu, then anaenda kwa yule, then anakuja kwangu na yote hayo anafanya mbele yako! sasa c apeleke nguvu zake sehemu moja jamani!!

Orait mama, hapo ndipo tatizo lako la msingi lilipo.
Inaonekana tatizo sio jamaa kukutongoza bali ni ile hali ya yeye kutaka kuchovya kila chungu akionacho jikoni sasa ukamstukia.
Kwanini sasa usimshauri huko huko kwamba aelekeze nguvu sehemu moja, kwakuwa we hupendi ku-share na mwingine.
 

Aisee nakosa maneno sasa kama unalia nami nalia sasa. Ila mpotezee tu usijibu PM:crying::crying::crying::crying:
 

Leo kazi ipo hapa
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

Tamaa hizi..inabidi kabla ya kukutana tule kiapo cha kutoimbishana na Rev Masanilo afungue kwa sala kukemea pipo wa matamanio ya mwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…