HATUTAKUWEPO HEWANI JAMANI

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
Habarini wadau wenzangu

Yaani nimesikitika kwa kweli mkuu wa kitengo wetu Melo Kusema kuwa hatutakuwa hewani leo alaisiri mweee mwenzenu naona nitakosa mambo muhimu humu na asijui tutarudi lini tena wanatuondolea uhondo wote jaaaa ila tuko pamoja nao waendeleee kutengeneza mitambo nadhani tutakuja tena kupalizi na kuvuna kwa upya hebu stay tuness wadau wenzangu muwe wapole jamani


Ladyf
 
Kwa hiyo huo muda ambao hatutakuwa hewani utaenda wapi?
 
Hee hamtakua hewan ...

Basi karibun ardhini ...

Huku kuna

Bajaji
Bodaboda
Trekta
Treni
Basi

Na vinginevyo

Karbu sana mwaweya tata mkuu
 
ngoja nikachukue no kwa mtu mmoja humu maana hatujui Mda wa kurudi
 
Out of topic,sorry,
Nimekutxt PM kwako mara moja uniassist k2.
thanks in advance'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…