Hatutasahau CHADEMA kushirikiana na mtesi wetu CCM

Hatutasahau CHADEMA kushirikiana na mtesi wetu CCM

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Hatutasahau Wananchi kusalitiwa na CHADEMA mchana kweupe, hatutasahau CHADEMA kushirikiana na mtesi wetu CCM.

Hatusahau CHADEMA kuikataa hoja ya Wananchi kuhusu mchele kupanda toka Tsh. 1,500 hadi 4,000 kilo moja, Maharage toka Tsh. 1,200 hadi 3,800 kilo moja, Unga kilo toka Tsh. 800 hadi 2,000, nyama toka Tsh. 6,000 hadi 10,000 kilo moja, lakini CHADEMA wanaungana na watesi wetu CCM kulamba asali.

Kesho CHADEMA mtakuja kwetu mkijiliza nasi tutawakumbusha jinsi mlivyoshirikiana na watesi wetu kulamba asali na kutusahau Wananchi.
 
Hatutasahau Wananchi kusalitiwa na Chadema mchana kweupe,hatutasahau Chadema kushirikiana na mtesi wetu CCM,hatusahau Chadema kuikataa hoja ya Wananchi kuhusu mchele kupanda toka sh 1,500 hadi 4,000 kilo moja,Maharage toka sh 1,200 hadi 3,800 kilo moja,Unga kilo toka sh 800 hadi 2,000 nyama toka sh 6,000 hadi 10,000 kilo moja,lakini Chadema wanaungana nmlizoea a watesi wetu CCM kulamba asali,kesho Chadema mtakuja kwetu mkijiliza nasi tutawakumbusha jinsi mlivyoshirikiana na watesi wetu kulamba asali na kutusahau Wananchi.
Nyinyi mlizoea siasa za chuki na kutoana roho za Mwendazake Magufuli, mnapoona Rais Samia na Mwenyekiti Mbowe, wanaleta siasa za maridhiano, mnachukizwa Sana!😎
 
Tanzania kuna chama kimoja tu cha siasa, nacho ni CCM. Kama hauzipendi sera zake ni afadhali ukaendelea na mishe zako tu nyingine. Lakini kama unazielewa sera zake basi kachukue kadi. Hao wengine ni wafanya biashara wa siasa.
 
Hatutasahau Wananchi kusalitiwa na Chadema mchana kweupe,hatutasahau Chadema kushirikiana na mtesi wetu CCM,hatusahau Chadema kuikataa hoja ya Wananchi kuhusu mchele kupanda toka sh 1,500 hadi 4,000 kilo moja,Maharage toka sh 1,200 hadi 3,800 kilo moja,Unga kilo toka sh 800 hadi 2,000 nyama toka sh 6,000 hadi 10,000 kilo moja,lakini Chadema wanaungana na watesi wetu CCM kulamba asali,kesho Chadema mtakuja kwetu mkijiliza nasi tutawakumbusha jinsi mlivyoshirikiana na watesi wetu kulamba asali na kutusahau Wananchi.
YEHU pekee ndio alifanikiwa kuepuka mtego wa Yezebel alikuwa ametegewa kama angekubali kufanya UZINZI na kahaba yule.

Bt, Adam, Suleiman, Samson, Uziah nk nk walianguka.

Mashujaa wengi ktk BIBLIA hawakutoboa ktk mtego uliowahusisha watu hao.

YEHU yule, yuaja.
 
Unamsemea nani? Jipiganie mwenyewe, na why utegemee watu wengine wakupiganie? Acha upumbavu mkuu. Mh. Lisu kapigwa live bullets zaidi ya 16, wewe umefanya nini? au ndio kulalama humu kwenye soft landing!
 
Unamsemea nani?,jipiganie mwenyewe, na why utegemee watu wengine wakupiganie?acha upumbavu mkuu,Mh.Lisu kapigwa live bullets zaidi ya 16,wewe umefanya nini?,au ndio kulalama humu kwenye soft landing!,
Kwani lazima wafanye Siasa waliowaambia sie tunataka kukombolewa na watuombe kura ni nani mbona sie hatuna habari na hayo mambo Yao [emoji846]
 
Wewe unazungumza kwa niaba ya nani walioukutama??
Kwani lazima wafanye Siasa waliowaambia sie tunataka kukombolewa na watuombe kura ni nani mbona sie hatuna habari na hayo mambo Yao [emoji846]
 
Maridhiano ni nguzo muhimu katika tunu za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania !
 
Nyinyi mlizoea siasa za chuki na kutoana roho za Mwendazake Magufuli, mnapoona Rais Samia na Mwenyekiti Mbowe, wanaleta siasa za maridhiano, mnachukizwa Sana![emoji41]
Kesho Mbowe akibadili gia angani akaanza kudai katiba mpya kwa nguvu na kushinikiza na kutukana CCM jukwaani utakuja kusemaje?

Yaani nyie ni watu wa hovyo sana aisee! Mwenyekiti ataakacho amua ndo hicho hicho, leo mmekubali maridhiano ila mlikua mnawaita ACT ni tawi la CCM kwa kufanya siasa za kistarabu.

Hii nchi hakuna chama cha upinzani wanasiasa wote wanaligania maslahi yao binafsi, kwa mfano leo wanadai katiba mpya ila ukifikiria kwa makini ni kweli nchi inahitaji katiba mpya lkn wao wanataka katiba mpya washike dola!! Na hapa ndipo ninapo wapuuza hawa wahuni
 
Raila Odinga kajitokeza front kwenye maandamano ya kudai bei ya unga na mchele ishuke,Mbowe analamba asali na Uchaguzi ujao kaondoa chama chake kwenye Uchaguzi,hana tena habari na mchele kuuzwa sh 4,000 toka 1,500 kwa kilo enzi za Magufuli,unga kilo 4,000 toka 1,200
 
Back
Top Bottom