Katika uko kurekebisha kubaliana na ukweli kwamba kila mtu ana mawazo yake, kwaiyo ukipewa challenge usianze kuita watu hawana ufahamu kwa sababu mawazo yako wewe sio kanuni ya maisha hapa duniani.Na ndio hicho nakifanya Sasa, narekebisha pale unapokosea tena katika sehemu husika ambayo ni hii.
Kwa upande wangu kazi yangu nimeimaliza. Tuko pamoja.
😀😀😀😀😀 halafu bangi sometimes inasingiziwa tu mambo mabaya, bob marley alikua mvuta bangi na kaacha legacy kubwa tu hapa dunianiUna uhakika aliacha kuvuta bangi?
Hiyo kauli ni sawa na unazunguka mbuyu tu kaka.Mkuu exceptions zipo kwenye kila kitu lakin hauwezi kutumia exception kufanya general conclusion,
mfano, katika taasisi nyingi hawaajiri mtu aliyewahi kufungwa jela maana kitendo cha kukutwa na hatia iyo red flag kwenye uadilifu wa uyo mtu lakini wote tunajua kwamba wapo ambao wanafungwa kimakosa.
There is exception in everything but exceptionality don't count when we make rules.
Sijui umri wako lakini nafikiri unaweza kuwa bro wa makamo hivi let say 35+, unajua mabroo mnavyotoa mawazo/ushauri kuhusu masuala ya mahusiano kuna sehemu huwa mnakosea sana.Hiyo kauli ni sawa na unazunguka mbuyu tu kaka.
Ila suala la jela kuweka mfananisho na ubikra ni mambo mawili ambayo hayawekani mizani sawa.
Utulivu wa kitabia ama utulivu wa mtu hauhusiani na ubikra mkuu.
Hauhusiani hata kidogo hata upunje.
Kwasababu sisi sisi wanaume ndio tunavunja hizo bikra kwa kusingizia tutaoa.
Ukishavunja bikra ya mtoto wa mtu kwa kumdanganya utamuoa unamkimbia.
Yani sisi sisi ndio waharibifu halafu tunataka vilivyo vizima.
Acheni kudanganyana mabinti mtawaoa halafu muone kama hamtapata bikra nyingi.
Papo hapo huyo unayemuoa mtizame kama ana stamala ama laa.
Laa sivyo utakua unaoa malaya ajaye tu.
Hapa umeupiga mwingiSijui umri wako lakini nafikiri unaweza kuwa bro wa makamo hivi let say 35+, unajua mabroo mnavyotoa mawazo/ushauri kuhusu masuala ya mahusiano kuna sehemu huwa mnakosea sana.
Mnaongelea haya masuala kwa kutengeneza taswira ya tolea la binti wa kizazi chenu ndio maana mara nyingi mnayoyaongea yanaonekana hayapo relevant na kinachoendelea huku ground na hapa ndipo tunashindwa kuelewana mimi na wewe.
You are talking based on the past while am talking based on current situation
Nakuakikishia kijana wa kiume ambae yupo 18-29 akisema ayafanyie kazi mnayaongea hivi vibinti vya elfu 2 vitampiga kama ngoma. Tupo katika kizazi hatari sana kwa simps na nice guys.
Mnatakiwa kujua kwamba zama zimebadilika, binti wa kizazi chenu ambaye alikua na maadili, haiba ya kike na anayapa heshima mahusiano ya kimapenzi sio binti wa kizazi cha leo ambaye ashapumbazwa akili na utandawazi, ferminism na anayaangalia mahusiano kama biashara au njia ya kupata luxuries ambazo wazazi wake hawana uwezo wa kumgharamia.
Kubalini zama zimebadilika mawazo mnayoyamini na mbinu mlizotumia zama zenu vyote ivyo vimeshakua outdated.
🙌🙌🙌🙌🙌Sijui umri wako lakini nafikiri unaweza kuwa bro wa makamo hivi let say 35+, unajua mabroo mnavyotoa mawazo/ushauri kuhusu masuala ya mahusiano kuna sehemu huwa mnakosea sana.
Mnaongelea haya masuala kwa kutengeneza taswira ya tolea la binti wa kizazi chenu ndio maana mara nyingi mnayoyaongea yanaonekana hayapo relevant na kinachoendelea huku ground na hapa ndipo tunashindwa kuelewana mimi na wewe.
You are talking based on the past while am talking based on current situation
Nakuakikishia kijana wa kiume ambae yupo 18-29 akisema ayafanyie kazi mnayaongea hivi vibinti vya elfu 2 vitampiga kama ngoma. Tupo katika kizazi hatari sana kwa simps na nice guys.
Mnatakiwa kujua kwamba zama zimebadilika, binti wa kizazi chenu ambaye alikua na maadili, haiba ya kike na anayapa heshima mahusiano ya kimapenzi sio binti wa kizazi cha leo ambaye ashapumbazwa akili na utandawazi, ferminism na anayaangalia mahusiano kama biashara au njia ya kupata luxuries ambazo wazazi wake hawana uwezo wa kumgharamia.
Kubalini zama zimebadilika mawazo mnayoyamini na mbinu mlizotumia zama zenu vyote ivyo vimeshakua outdated.
piga spana apoUmri ni kigezo kikubwa sana iyo 30 nimeitaja kama wakati ambao thamani ya mwanamke inaanza kushuka na ya mwanaume inaanza kupanda, usisahau kwamba kupanda uko kwa thamani mwanaume unatakiwa kupambana, sio eti uwe mzembe utegemee utakapofika 30 thamani yako itakua juu au itaanza kupanda tu automatically.
Tuchukue mfano wa shilole na vunjabei. Ukirudisha miaka yao nyuma wakiwa wakiwa 20s bila shaka thamani ya shilole ilikua kubwa kwa sababu alikua bado binti mbichi wakati vunja alikua bado anazitafuta lakini leo hii ukiwaweka kwenye dating market hawa wawili utaona thamani za zime-switch oppositely.
Sio rahisi Shilole kumpata mwanaume mwenye mafanikio katika age yake ndio maana kimbilio lake ni vijana wadogo wakati vunja kumpata binti wa 18-22 ni suala rahisi.
Nature inamuhukumu shilole kutokana na muda wakati inamuhukumu vunja kutokana na mafanikio
Kama unabisha oa Malaya tuone kama utambadilishaNadharia reja reja ulizozitoa kwa kuangalia maudhui ya kipumbavu ya kina Andrew Tate na Kevin Samuels.
Ukifanya hivyo hawezi kushtuka kuwa una mtest??..,(,hiyo kuacha kumhudumia kwa atleast mwezi?Single mother wengi wao wanatoa mahaba mazito ili tu uingie kwenye mfumo wake ili kumpima ni mtu wa aina gani jaribu kutomsaidia shida zake ikiwemo mtoto wake angalau kwa mwezi uone atakuwa anabehave vipi anza na hapa kwanza. Tatizo lenu mnaingia kichwa kichwa mwanamke unatakiwa umpime kwenye mengi ili ujue ni sahihi kwako
Na wewe ulikuwa muuza ndizi maarufu arumeru lakini sasa hivi wewe ni tajiri hapo kwenu njiroRobert Downey jr. alikuwa teja lakini sasa ni moja ya waigizaji wakubwa duniani.
Katika uko kurekebisha kubaliana na ukweli kwamba kila mtu ana mawazo yake, kwaiyo ukipewa challenge usianze kuita watu hawana ufahamu kwa sababu mawazo yako wewe sio kanuni ya maisha hapa duniani.
Nafikiri wewe mwenyewe umeona comments za wote wanaounga mkono nilichoandika kwaiyo usifikiri wewe ndio una akili na uzoefu wa maisha zaidi yao wote.
Turekebishane, tupeane challenge, tuelekezane na pale ambapo hatutakubaliana basi tukubaliane kutokukubaliana.
Una mawazo yako nina mawazo yangu, hakuna haja ya kushindana nani yupo sahihi zaidi., ndio maana nikasema tukubaliane kutokukubaliana.Nilitaka nisikujibu lakini nafsi ikasita. Hapa siandiki tu kisa nimekula nimeshiba la hasha,bali hapa naandika ile kweli tupu ambayo ni moja. Unapokoselewa ni bora ukarekebisha kuliko kuminyana kwenye hakuna.
Huwezi ukajenga halafu muda huo huo unaharibu, huu ni ufahamu mdogo sana juu ya kile unachokisimamia hasa ukiwa hujui kama unaharibu.
Hapa umeonyesha udhaifu mkubwa sana kwa kuangalia wingi wa wale wanao kuunga mkono, usilolijua ni kuwa wingi ni jinsia ya kike na huwa dhaifu sana na mara nyingi husifiwa sana uchche.
Sisi huwa tunaangalia ni kina nani wanaunga mkono ? Je wanajielewa ? Sasa kama ambao wanakuunga mkono wana akili kama zako na uchachefu wa ufahamu kama wako hili ni tatizo kubwa zaidi.
Ndio maana nikakwambia kazi yangu nimemaliza, ajabu hukuelewa nilichokiandika.