Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Hapo hakuna Dr. wala Prof sisi kila anayetaka Urais lazima eti Dr.Miaka 70 USA sawa na 40 TZ
Mwenye 70 TZ sawa na 100 USA
Na hao ni rich...
Dr kumaanisha nnHapo hakuna Dr. wala Prof sisi kila anayetaka Urais lazima eti Dr.
Duh!at 70s mbongo utaambiwa umejinyea ama mgonjwa ohoooo.
Hichi kitu kina nikera Sana, Nchi ni maskini Sana lakini kila kitu Dr Fulani, Prof fulani.Hapo hakuna Dr. wala Prof sisi kila anayetaka Urais lazima eti Dr.
Ni kweli kabisa Mkuu.Hichi kitu kina nikera Sana, Nchi ni maskini Sana lakini kila kitu Dr Fulani, Prof fulani.
Kwa mabeberu ni nadra sana kusikia hizi swaga za Dr/ Prof kwenye uongozi. Huwezi kusikia Dr Obama, Dr Clinton, etc