Hawa 3 wasingeingia siasani vipawa vyao vingeinua sanaa nchini Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi na Jokate!

Hawa 3 wasingeingia siasani vipawa vyao vingeinua sanaa nchini Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi na Jokate!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hawa Watatu Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi aka Sugu Moto Chini na Jokate aka Kidoti Wana Vipawa na Vipaji bobevu katika Sanaa hivyo kama wasingeingizwa Siasani ni wazi Tanzania ingekuwa zaidi ya Nigeria

Huwa sielewi kwanini Watatu Hawa Walivivua Vipawa vyao 🐼

Ahsanteni sana 😄
 
Hawa Watatu Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi aka Sugu Moto Chini na Jokate aka Kidoti Wana Vipawa na Vipaji bobevu katika Sanaa hivyo kama wasingeingizwa Siasani ni wazi Tanzania ingekuwa zaidi ya Nigeria

Huwa sielewi kwanini Watatu Hawa Walivivua Vipawa vyao 🐼

Ahsanteni sana 😄
Kwa vile humjamtaja Chalalamila, hii mada imekosa mashiko,

Dominika njema,
 
Hawa Watatu Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi aka Sugu Moto Chini na Jokate aka Kidoti Wana Vipawa na Vipaji bobevu katika Sanaa hivyo kama wasingeingizwa Siasani ni wazi Tanzania ingekuwa zaidi ya Nigeria

Huwa sielewi kwanini Watatu Hawa Walivivua Vipawa vyao 🐼

Ahsanteni sana 😄
Jokate alipambana na sanaa haikuwahi kumlipa her ticket ilikuwa kwenye siasa ndio maana alipopata nafasi hajawahi kutazama nyuma. Joseph mbilinyi alifanya alichofanya hana anachoweza kubadilisha style yake ya kuchana na swaga zake hiki kizazi hakiwezi kuzielewa. mbowe huyo sitosema chochote.
 
Jokate alipambana na sanaa haikuwahi kumlipa her ticket ilikuwa kwenye siasa ndio maana alipopata nafasi hajawahi kutazama nyuma. Joseph mbilinyi alifanya alichofanya hana anachoweza kubadilisha style yake ya kuchana na swaga zake hiki kizazi hakiwezi kuzielewa. mbowe huyo sitosema chochote.
😀😀😀
 
Huyo Sugu alichotaka kunifanyia pale , kama siyo Chalamila, Israeli na aseme sasa.
 
Back
Top Bottom