escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,473
- 2,868
Siyo ya kuuliza hayo we pigia mstari tuInamaana HK aliyekua meneja wa snura nae atakuja kumsumbua MO.
Kigwangala ana hoja za msingi kabisa.Mo hayuko Simba SC kuisaidia timu bali ni mbia mwenye hisa zake zenye thamani ya bilioni 20.Hela ambazo hataki kuzitoa.Mo analeta janjajanja ya nyani halafu baadae aje aseme nilitoa hela zangu kuendesha klabu so bilioni 20 hakuna.AWEKE MZIGO WETU MEZANI.Alianza mzee mzima Hamis Kilomoni a.k.a HK akamsumbua Mwamedi mpaka akatamani kukimbia mji πππView attachment 1561789
Juzi tena Hamis Kigwangalla a.k.a HK nae kalianzisha had Mwamedi akatamani kujitoa kuifadhili Simba, Hapa angalau aliokolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha mboga mboga maana HK alikua ametawala sana mchezo
View attachment 1561791
Sasa nashindwa kuelewa hawa wanaoitwa Hamis a.ka HK wana tatizo gani na huyu Mwamedi?
Hat Diamond anajua kama Muhindi ni TapeliAlianza mzee mzima Hamis Kilomoni a.k.a HK akamsumbua Mwamedi mpaka akatamani kukimbia mji πππView attachment 1561789
Juzi tena Hamis Kigwangalla a.k.a HK nae kalianzisha had Mwamedi akatamani kujitoa kuifadhili Simba, Hapa angalau aliokolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha mboga mboga maana HK alikua ametawala sana mchezo
View attachment 1561791
Sasa nashindwa kuelewa hawa wanaoitwa Hamis a.ka HK wana tatizo gani na huyu Mwamedi?