Hawa Celebrity Wako Wapi Siku Hizi?

GP, Badi Bakule aliimba pia Mwenye kwetu kwaheri (sina hakika na title)
Mwenye kwetu kwaheri,
Kwa heri x2 nawatakia maisha mema
Kwa heri x2 nimeshachoshwa na masimango
Mwana masikini eeh!
Best BAK, plz fanya mambo yako
 
Last edited by a moderator:

kitu kinaitwa CHANDE mkuu!
 
GP, Badi Bakule aliimba pia Mwenye kwetu kwaheri (sina hakika na title)
Mwenye kwetu kwaheri,
Kwa heri x2 nawatakia maisha mema
Kwa heri x2 nimeshachoshwa na masimango
Mwana masikini eeh!
Best BAK, plz fanya mambo yako

hapana mkuu King'asti,
huo wimbo uliimbwa na WAZIRI SONYO
 
Last edited by a moderator:
nimemuona badi bakule leo,kwa kifupi amechoka kimaisha anapiga live band kibaha maili moja kiteshe band
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…