Hawa Clouds Fm ni wa ajabu sana jamani

juvenile davis

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
4,752
Reaction score
4,467
Leo majira ya 13:50 kwenye kipindi cha XXL cha clouds fm.mtangazaji B12 ametangaza kwamba kesho kutakuwa na special day for the late Albert Mangwea.

Kilichonishangaza ni je kwa nini wasanii wengine waliofariki huwa hawapewi siku ya kumbukumbu isipokuwa Mangwea tu??

Mbona hii redio ina ubaguzi sana? Huyo Ngwea haiwezekani aonekane ni legend saaaana, wakati hata Langa, John mjema, Mr Ebo,James Dandhu,,Mez b,n.k ni malegend kuliko Ngwea na hatuwawekei kumbukumbu??

Hii redio ni ya ajabu kupitiliza, wana unazi sana
 
Nadhani alieleta mada hii amewaelewa, nimemuona huko kiguu njia kwenda kuwashauri, na ameniambia Hana majungu ila msikilizaji mzuri wa Clouds FM, msizani Ni anaetafuta asikie makosa ayapeleke forums kulalamika ha ha ha.
 
Clouds walifanya coverage ya msiba wa Ngwair toka mwili ukiwa South, ukaja Dar, ukapelekwa Morogoro na ukazikwa. Huku kote Clouds walikuwapo.

Nadhani hili ndo lingekushangaza kwanza kabla la hili la kumbukumbu.

BTW, Ngwair alikufa akiwa kazini ndo maana bosi wake anaendelea kumkumbuka.

Usiniulize ni kazi gani.
 
Ngwear alikuwa 'mfanyakazi wa bosi" wa clouds, hukushangaa Milard Ayo kwenda kushuhulikia msiba wa marehemu huko south, na kusema amekabidhiwa barua yenye majibu ya chanzo cha kifo, lakini baada ya kuufikisha mwili morogoro alipo ombwa na ndugu awakabidhi bahasha wajue chanzo chha kifo akawaruka na kusema hajui kitu kuhusu bahasha. Usishangae ni muendelezo wa kujipooza roho wakifikiri nafsi yao itakuwa salama.
 
Hata Mimi nilisikia... kuna tatizo gani kama wanafuata maandiko yenu ya Dini.....
 
Kwanza inatakiwa wakumbukwe wachache ambao at least walikuwa na ukaribu na pale clouds, ukisema wakumbuke kila mtu itakuwa radio ya kumbukumbu za vifo sasa
 
Sasa nimeelewa hawa wote wanaotokwa na povu kwenye hii mada ni wana vinasaba na clouds wasije wakaulizwa mbona hamkututetea pale watu wanapogundua janja janja yetu
 
Hahaha hamna ila no one is perfect, kuna radio ambazo hazina kumbukumbu ya msanii hata mmoja pia hizo tuziseme kwamba zilikuwa na bifu na wasanii wote
 
Clouds wao ndo walimtuma sembe lazima wampe haki yake
 

Kupanuka kwao kulitokana na " Kinondoni manyanya flour " alilobeba inside " ze stomach " na likauzika japo lilimdedisha mwenyewe baada ya kutamani chai kisha moja wapo ( mwananyamala / kete ) ikampasukia na Watu wakapiga Hela yao ya nguvu na sasa wanajitanua tu kwa Waandaaji wa World Cup 2022 huku wakisajili Watu japo wa zamani na kuwapa " Mkojozi " New Model Discovery na " Ki rat " Mshahara mnono. Mkuu naomba niishie hapa tafadhali! R.I.P Albert Ngwea.
 
Aisee acha kabisa kumlinganisha Late King of free style na wasanii wengine

Ni kweli hao tunawaheshim kwa nafasi zao but Albert was another thing

He deserve.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…