juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
Sasa nimeelewa hawa wote wanaotokwa na povu kwenye hii mada ni wana vinasaba na clouds wasije wakaulizwa mbona hamkututetea pale watu wanapogundua janja janja yetuNgwear alikuwa 'mfanyakazi wa bosi" wa clouds, hukushangaa Milard Ayo kwenda kushuhulikia msiba wa marehemu huko south, na kusema amekabidhiwa barua yenye majibu ya chanzo cha kifo, lakini baada ya kuufikisha mwili morogoro alipo ombwa na ndugu awakabidhi bahasha wajue chanzo chha kifo akawaruka na kusema hajui kitu kuhusu bahasha. Usishangae ni muendelezo wa kujipooza roho wakifikiri nafsi yao itakuwa salama.
Leo majira ya 13:50 kwenye kipindi cha XXL cha clouds fm.mtangazaji B12 ametangaza kwamba kesho kutakuwa na special day for the late Albert Mangwea.
Kilichonishangaza ni je kwa nini wasanii wengine waliofariki huwa hawapewi siku ya kumbukumbu isipokuwa Mangwea tu??
Mbona hii redio ina ubaguzi sana? Huyo Ngwea haiwezekani aonekane ni legend saaaana, wakati hata Langa, John mjema, Mr Ebo,James Dandhu,,Mez b,n.k ni malegend kuliko Ngwea na hatuwawekei kumbukumbu??
Hii redio ni ya ajabu kupitiliza, wana unazi sana
Kumbe?[emoji15] asante kwa kunifungua kichwaClouds wao ndo walimtuma sembe lazima wampe haki yake
Aisee acha kabisa kumlinganisha Late King of free style na wasanii wengineLeo majira ya 13:50 kwenye kipindi cha XXL cha clouds fm.mtangazaji B12 ametangaza kwamba kesho kutakuwa na special day for the late Albert Mangwea.
Kilichonishangaza ni je kwa nini wasanii wengine waliofariki huwa hawapewi siku ya kumbukumbu isipokuwa Mangwea tu??
Mbona hii redio ina ubaguzi sana? Huyo Ngwea haiwezekani aonekane ni legend saaaana, wakati hata Langa, John mjema, Mr Ebo,James Dandhu,,Mez b,n.k ni malegend kuliko Ngwea na hatuwawekei kumbukumbu??
Hii redio ni ya ajabu kupitiliza, wana unazi sana