Hawa hapa Wabunge wapya watakaoiwakilisha Tanzania EALA

Hawa hapa Wabunge wapya watakaoiwakilisha Tanzania EALA

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
  • Ndg. Angela Charles Kizigha
  • Ndg. Nadra Juma Mohamed
  • Dkt. Shogo Richard Mlozi
  • Dkt. Abdullah Hasnu Makame
  • Ndg. Machano Ali Machano
  • Ndg. Mashaka Halfan Ngole
  • Ndg. Ansar Abubakar Kachwamba
  • Ndg. James Kinyasi Millya
  • Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe
 
Yaani CCM na wingi wao wameshindwa kumpa Addo Shaibu Katibu mkuu wa CHAMA mshirika wao ACT?
Kweli CCM haina urafiki hata kidogo na hili lazima liwe fundisho kwa mzee wa Ngogwe Zitto kuwa tamaa mbele mauti nyuma.


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Nafikiri kuna wa upinzani hapo kama hakuna atatafutwa baadae
 
Hawa wawe tofauti na kina Kimbisa, Makongoro maana wabunge wa EALA toka Uganda, Kenya na Rwanda tunawasikia wakichangia hoja lakini wetu wa kutoka Tanzania wamekuwa mabubu .
Sasa kama wanachaguliwa na Comedian kama hawa unategemea nini?
IMG-20220922-WA0011.jpg


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom