spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Wewe ndiye wakusikitiwa unaye kalili maisha,hivi unazani waarabu wote wa Dubai ni matajiri, wenzetu wanakuonyesha kila wanachotaka ww uone,acha kuwa rigid kama tofali.Wewe ni wakusikitikiwa tu aisee,fixed mind mentality haiwezi kukufikisha popote,wake up,
Hao wanyama wanaowafuga wanapatikana Tz tu Dunia nzima Eeh!
Husipo amini ni ww na swala imani ni utashi wa mtu, ila hao warabu ndio wamedominate upande wa kumiliki vitalu Tz.kwa hiyo wewe unaamini kabisa ndani ya akili yako kuwa waarabu wanatoka kwao wanakuja huku kwetu kuiba chui? kama vile Selemani anavyokwenda kukwapua simu ya mtu kariakoo?
Umewahi kufika Dubai? Au ndio mnaongopeana hapo kwenye kijiwe chenu cha Bodaboda hapo chini ya Muembe? Tembea ujionee acha kujifungia.Wewe ndiye wakusikitiwa unaye kalili maisha,hivi unazani waarabu wote wa Dubai ni matajiri, wenzetu wanakuonyesha kila wanachotaka ww uone,acha kuwa rigid kama tofali.
Sasa unabishana mpaka na hali halisi kwani wanao miliki vitalu vingi vya uwindaji Tanzania ni wakina nani?
Kweli wanapatikana dunia nzima na ukae ukijua Tz ni moja ya nchi ambayo kuna usafirishwaji haramu wa wanyama mfano Twiga na waarabu ambao ww una mahaba nao ndio wame dominate kwenye kumiliki vitalu.
Upo sahihi kabisa mkuu,Africa ina almost kila aina ya natural resources,Waarabu wamepewa Gas na Oil tu na wamevitumia vizuri na kujitajirisha,Africa ilitakiwa ndio liwe bara tajiri Duniani.Mfumo wa dini Yao pia umechangia sana kuwaondoleaa ubinafsi, mwafrika ana Mali nyingi kuliko mwarabu
Na hizo gas na oil zinachuruzika toka Africa, uarabuni ipo chiniUpo sahihi kabisa mkuu,Africa ina almost kila aina ya natural resources,Waarabu wamepewa Gas na Oil tu na wamevitumia vizuri na kujitajirisha,Africa ilitakiwa ndio liwe bara tajiri Duniani.
So Dubai wote matajiri au ulikuwa afisa wa sensa Dubai,ukazunguka Dubai nzima.Umewahi kufika Dubai? Au ndio mnaongopeana hapo kwenye kijiwe chenu cha Bodaboda hapo chini ya Muembe? Tembea ujionee acha kujifungia.
Arabs maarifa hawana ila mpunga wanao
Asians hawana utajiri ila wana determination
Wazungu wana maarifa
Waafrika tuna rasilimali ila hatujui tufanyaje ila si haba madushe makubwa na wanawake wenye mashape ya hatari
Mapopo wapuuzi kama wapuuzi wengine africahio sio hoja, Mafuta hata nchi nyingi za africa yapo kama Nigeria, ila bado maisha nimabovu. Tukubali tu jamaa wametutangulia sana.
Bakharesa family hao mkuuHapo Ni Tanganyika?
Nimeona Boksaa mnyama!
Hakuna nchi yeyote Duniani ambayo watu wake wote ni matajiri,wala hakuna sehemu ambayo nimesema hivyo,hata huko Bongo kuna watu wanaishi vizuri kuliko hata ambao wamepigika wanaoishi US,naona hujaelewa hata ninachokisimamia.So Dubai wote matajiri au ulikuwa afisa wa sensa Dubai,ukazunguka Dubai nzima.
Uzuri hatujuani na siwezi kukulaumu kwani ww mwenyewe umeamua kukikalilisha kichwa chako,ila mimi sio Limbukeni kama ww
Waarabu wanagundua nini wao wamejaaliwa mali tu za kurithiArabs hawana maarifa ? aisee huo mpunga waliupataje kama si kwa kupitia hayo maarifa?
Wamerithi toka kwa nani? kati ya Arabs na bara la Africa,ni nani mwenye natural resources nyingi? wao wametumia only Oil na Gesi tu kufika hapo walipo.Waarabu wanagundua nini wao wamejaaliwa mali tu za kurithi
Sijaelewa au ww mwenye umesahau mpaka ulicho kieleza ww mwenyewe na inawezekana hata hujui ulipo simamia.Hakuna nchi yeyote Duniani ambayo watu wake wote ni matajiri,wala hakuna sehemu ambayo nimesema hivyo,hata huko Bongo kuna watu wanaishi vizuri kuliko hata ambao wamepigika wanaoishi US,naona hujaelewa hata ninachokisimamia.
Waarabu wanagundua nini wao wamejaaliwa mali tu za kurithi
Sisi tumepewa rasilimali sio malikwani Africa hatuna mali za kurithi? mbona ni maskini wakutupwa?
Sisi tumepewa rasilimali sio mali
Hao ni wajukuu wa Bakheresa na mtoto wa Gsm wamekutana wanakula bata, sio waarabu wa DP World .DP WORLD Dubai Sasa Wameingia Tanganyika Lakini Zanzibar Marufuku Kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sisi wengine tunasindikiza tu yaani kwenda kwa morombo kula nusu kilo mbuzi na ugali roho inauma unaona unatumia hela vibaya