Hawa jamaa wanaongoza kwa mahusiano

Hawa jamaa wanaongoza kwa mahusiano

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,095
Katika purukushani zangu mitaani nimekumbana na hawa jamaa.
Wanaongoza sana kwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasichana/wanawake;-

Vinyozi hawa wanawanasa sana mabinti kwa mapowder na kuchonga nywele

Madreva tax hawa wanawanasa sana wake za watu nipeleke sehemu flani jamaa anaimba huko huko

Wasagisha mashine hawa nao balaa mahouse girl hapa huwa hawachomoki hata wake za watu

Konta wa daladala hawa nao dah mambo ya staff kwa mabinti ni balaa

Madereva wa malori hawa jamaa kila kituo atakapo funga break amewekeza

Wauza chipsi dahh hawa jamaa kwa gear ya zege na kidali wanamega sana

Wauza genge jamani jamani usiombee awe mpemba atamega mtaa mzima
 
Kheee Kheee Kheeee :laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:
 
Mafundi chelehani vp? Wapaka kucha je? Mafundi viatu :clap2:
Loh!!!! Wote hao ongeza kwenye listi bora hata mafundi viatu hao wapaka rangi balaa kuna sehemu moja Sinza nafikiri panaitwa Madukani dah unakuta dada zetu wamewawekea miguu juu hawa wapaka rangi jaribu siku moja upite maeneo hayo uone
 
Maboss bwana we acha tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu....... waheshimiwa je? kuna mheshimiwa mmoja wa chama chetu fulani fulani demu wake alimwingiza kwenye kale kamchakato ka viti maalum nadhani baada ya kufanikiwa kumega demu hajapata kitu ila bado yupo na mheshimiwa sana mbuge wetu kijana sana mtanashati sana..........
 
umewasahau madaktari,,,, hawa watu ni balaa,,,,, yaani ile kimya kimya....
 
mmewasahu madereva wa waheshimmiwa/maboss jamani.....
 
mmewasahu madereva wa waheshimmiwa/maboss jamani.....

Ha ha haaaa, Boss anasafiri na kimada akifika mjengoni yupo busy na vikao dereva anatunza kitu mchana kutwa :laugh: :laugh:
 
Mmesahau walimu wa 'vyuo vya dini' mtaani
 
Wenye baa, yaani ili aajiriwe baamedi lazima 'aonjwe'...
 
Maboss bwana we acha tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu....... waheshimiwa je? kuna mheshimiwa mmoja wa chama chetu fulani fulani demu wake alimwingiza kwenye kale kamchakato ka viti maalum nadhani baada ya kufanikiwa kumega demu hajapata kitu ila bado yupo na mheshimiwa sana mbuge wetu kijana sana mtanashati sana..........

Ha ha ha ha ha ha ha
Jafa-laimu, Mista tuuu na Shailozi banji :roll:
 
Mmesahau madalali wa ma-hausigeli na waendesha pikipiki
bila kusahau mapruduza wa muziki, watengeneza muvi za kibongo na waigizaji wao
 
Katika purukushani zangu mitaani nimekumbana na hawa jamaa.
Wanaongoza sana kwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasichana/wanawake;-

Vinyozi hawa wanawanasa sana mabinti kwa mapowder na kuchonga nywele

Madreva tax hawa wanawanasa sana wake za watu nipeleke sehemu flani jamaa anaimba huko huko

Wasagisha mashine hawa nao balaa mahouse girl hapa huwa hawachomoki hata wake za watu

Konta wa daladala hawa nao dah mambo ya staff kwa mabinti ni balaa

Madereva wa malori hawa jamaa kila kituo atakapo funga break amewekeza

Wauza chipsi dahh hawa jamaa kwa gear ya zege na kidali wanamega sana

Wauza genge jamani jamani usiombee awe mpemba atamega mtaa mzima


Mh umefanya reseach yako wapi????
 
Back
Top Bottom