Magu
Senior Member
- Jun 13, 2011
- 156
- 56
Ninaangalia Kenya's TV inayoitwa K24 kipindi kinaitwa connect, wadada wawili wajadili sababu za mwanaume kukojoa mapema wakati wa kufanya mapenzi (Premature ejaculation) na jinsi ya kufanya ili kuchelewa ili kuwaridhisha wanawake! je ni sawa kwa utamaduni wa mwafrika kujadili mambo kama haya publically?