Mkuu usiulizie maadili kwenye tv zetu siku hizi maana mchana kweupe wanaonyesha watu wanakiss french kiiss bila wasi wasi wengine wanaonyeshwa wanavuana nguo wanaingia kitandani mchana kweupe
Maadili hakuna
kweli.... et tunakweenda na wakati, huu wakati ndo unaharibu mambo yote.kwa kizazi hiki swala la maadili limekua gumu kama somo la hesabu