Kaka unachokitafuta sio kizuri sana, halafu umeshakua na akili ya kuzijua dalili za mtoto uliebambikiwa sasa usichimbe zaidi ya hapo, ndoa ina changamoto sana hasa ukijua mkeo amekusaliti utakua na msongo wa mawazo.Habari wakuu? Moja kwa moja kwenye mada:
Kuna mdada nilikutana nae kimapenzi tarehe 16/04/2023, baadae akadai ana mimba yangu.
Mimi kwa kuwa nilikuwa na mashaka na ile mimba nikajipa muda nione siku atakazokuja kujifungua kama zinaendana na siku nilizokutana nae.
Bahati nzuri akaja kujifungua tar 30/12/2023 watoto mapacha wa kiume.
Basi kwa kiwa nilitaarifiwa mapema nikawa nimeonesha ushirikiano kuanzia gharama za hospital hadi sasa hivi matumizi.
Ila niwe mkweli tangu day one sijawahi kukubali kutoka moyoni kabisa kwamba hawa ni wanangu.
Mashaka ni mengi na sababu za mashaka ni kama zifuatazo:
1. Siku nimekutana nae nilivaa mpira japo ulikuja kuchomoka baadae.
2. Timing yenyewe ya mimba kuingia hadi kujifungua. Mimba iingie tar 16/4 izaliwe tar 30/4?
Kuna mwanamke nilikutana nae tar 1/4/2023 yaani mwezi ule ule tar 1 ila yeye amekuja kujifungua tar 08/01/2024.
Hii inanifanya nazidi kuwa na mashaka na mimba ya huyu wa mapacha.
3. Watoto hawanifanani. Ni weupe sana na mimi ni mweusi na mama yao ni mweusi, chain yetu sote haina watu weupe.
4. Tabia za huyu mwanamke. Alikuwa na wanaume wengi kiasi kwamba kuna watu kadhaa waliikataa hiyo mimba. Hili nilikuja kulijua baadae.
Uzi huu nimeuleta huku kwenye jukwaa la afya nikihitaji hasa msaada wa wataalam mnisaidie kunipigia hesabu ya hiyo mimba.
Inawezekana mimba mimba kuingia na kuzaliwa ndani ya tarehe tajwa hapo juu?
Maana sotw tunajua mimba ni miezi 9 japo inaweza kuwahi au kuchelewa kidogo.
Msaada kwenu wakuu, maana nipo kwenye wakati mgumu sana na nataka kufanya maamuzi maana nadhani nnaelewa hakuna kitu kinauma kama kulea damu isiyo yako.
Natanguliza shukrani.
Very wiseNAKUSHAURI LEO HAO WATOTO MAPACHA BILA UBAGUZI, ikiwezekana mwambie mama yao kuwa unatambua siyo wako ila unalea kwasababu hao watoto hawana hatia. Pole na hongera
[emoji4][emoji4]DNA ndo suluhisho la tatizo lako wahi mapema kabla ujaanza kulipa ada
Watoto ni wako. Nakupa siri kwenye hizo tare.Habari wakuu? Moja kwa moja kwenye mada:
Kuna mdada nilikutana nae kimapenzi tarehe 16/04/2023, baadae akadai ana mimba yangu.
Mimi kwa kuwa nilikuwa na mashaka na ile mimba nikajipa muda nione siku atakazokuja kujifungua kama zinaendana na siku nilizokutana nae.
Bahati nzuri akaja kujifungua tar 30/12/2023 watoto mapacha wa kiume.
Basi kwa kiwa nilitaarifiwa mapema nikawa nimeonesha ushirikiano kuanzia gharama za hospital hadi sasa hivi matumizi.
Ila niwe mkweli tangu day one sijawahi kukubali kutoka moyoni kabisa kwamba hawa ni wanangu.
Mashaka ni mengi na sababu za mashaka ni kama zifuatazo:
1. Siku nimekutana nae nilivaa mpira japo ulikuja kuchomoka baadae.
2. Timing yenyewe ya mimba kuingia hadi kujifungua. Mimba iingie tar 16/4 izaliwe tar 30/4?
Kuna mwanamke nilikutana nae tar 1/4/2023 yaani mwezi ule ule tar 1 ila yeye amekuja kujifungua tar 08/01/2024.
Hii inanifanya nazidi kuwa na mashaka na mimba ya huyu wa mapacha.
3. Watoto hawanifanani. Ni weupe sana na mimi ni mweusi na mama yao ni mweusi, chain yetu sote haina watu weupe.
4. Tabia za huyu mwanamke. Alikuwa na wanaume wengi kiasi kwamba kuna watu kadhaa waliikataa hiyo mimba. Hili nilikuja kulijua baadae.
Uzi huu nimeuleta huku kwenye jukwaa la afya nikihitaji hasa msaada wa wataalam mnisaidie kunipigia hesabu ya hiyo mimba.
Inawezekana mimba mimba kuingia na kuzaliwa ndani ya tarehe tajwa hapo juu?
Maana sotw tunajua mimba ni miezi 9 japo inaweza kuwahi au kuchelewa kidogo.
Msaada kwenu wakuu, maana nipo kwenye wakati mgumu sana na nataka kufanya maamuzi maana nadhani nnaelewa hakuna kitu kinauma kama kulea damu isiyo yako.
Natanguliza shukrani.
Kumbe na wewe umezalisha njee ya uchumba wako huu ukamkacha mwana na mama yake ukatafuta mchumba mwingine halafu uliokua nae kakuletea wana sio wako huoni hiyo ni karma kakaMsilete huruma kwenye maisha ya watu. Akawapatie baba yao halali na mimi nikalee ambao ni wangu halali. So far sijaacha kuwalea mpaka sasa
Alee watoto ambao si wake? We mjinga nini.NAKUSHAURI LEO HAO WATOTO MAPACHA BILA UBAGUZI, ikiwezekana mwambie mama yao kuwa unatambua siyo wako ila unalea kwasababu hao watoto hawana hatia. Pole na hongera
HahahaKumbe na wewe umezalisha njee ukamkacha mwana na ***** ukatafuta mchumba mwingine halafu uliokua nae kakuletea wana sio wako huoni hiyo ni karma kaka
Kuchapiwa kunauma mzee tuombe yatuepukeKitanda hakizai haramu
#KuchapiwaHakuepukiki#
Daah hapa kaka umepigwa. Watoto hawanifanani. Ni weupe sana na mimi ni mweusi na mama yao ni mweusi, chain yetu sote haina watu weupe.
Kweli aiseeDNA ndo suluhisho la tatizo lako wahi mapema kabla ujaanza kulipa ada
Eti VARKama faranga zipo tuma sample kwa Mr Ruto majibu ya DNA uhakika zaidi au wapeleke kwa VAR ya familia kijijini wakiangalia kucha na vidole majibu tayar
Ndo hivyo uwe umekutana naye au la watoto wameshakua wako. Kwa ushauri zaidi kapime DNAMaana ya hiyo kauli ni kwa mke wa ndani. Mimi huyo hakuwa mke wangu. Nlikutana nae tu kisela
Ni kweli mkuu usipokua na moyo mgumu unaweza kuchukua maamuzi mabaya sanaKuchapiwa kunauma mzee tuombe yatuepuke
Huyu sio mke wangu mkuu. Nafikiri utakuwa haujasoma vizuri mkuu.Kaka unachokitafuta sio kizuri sana, halafu umeshakua na akili ya kuzijua dalili za mtoto uliebambikiwa sasa usichimbe zaidi ya hapo, ndoa ina changamoto sana hasa ukijua mkeo amekusaliti utakua na msongo wa mawazo.
Huyo kisheria ni mkeo kaka ana haki zake za kisheria kama mke katika jicho la kisheria,Huyu sio mke wangu mkuu. Nafikiri utakuwa haujasoma vizuri mkuu.
sijakosea au sina makosa. Mada hapa ni kwamba kuwalea nshakubali wala silalamiki juu ya hilo. Issue hapa ni uhalali wa watoto kama ni wangu au lah!Kumbe na wewe umezalisha njee ya uchumba wako huu ukamkacha mwana na mama yake ukatafuta mchumba mwingine halafu uliokua nae kakuletea wana sio wako huoni hiyo ni karma kaka