Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 57,951 Reaction score 32,619 May 7, 2024 #61 Kaina said: Msaada juu ya kupima DNA tafadhali waungwana Click to expand... Jikateeee kidole kidogo changanya na damu ya mwanao ya mguun ikitoka nyeusi Simo ikibaki nyekundu wakwakoo somotuuuu
Kaina said: Msaada juu ya kupima DNA tafadhali waungwana Click to expand... Jikateeee kidole kidogo changanya na damu ya mwanao ya mguun ikitoka nyeusi Simo ikibaki nyekundu wakwakoo somotuuuu
Evarm JF-Expert Member Joined Aug 30, 2010 Posts 1,994 Reaction score 1,540 May 8, 2024 #62 Kaina said: Msilete huruma kwenye maisha ya watu. Akawapatie baba yao halali na mimi nikalee ambao ni wangu halali. So far sijaacha kuwalea mpaka sasa Click to expand... Ndugu, Mimba nyingi za mapacha huwa hazifiki full term. Mimi ni shahidi pia nimezaa mapacha baada ya wiki 32 tu hawakufika 36. Walikuwa premature sasa hivi ni warembo wa miaka 3. Kwa hiyo miezi yawezekana ni damu yako kabisa. Lea watoto acha umalaya.
Kaina said: Msilete huruma kwenye maisha ya watu. Akawapatie baba yao halali na mimi nikalee ambao ni wangu halali. So far sijaacha kuwalea mpaka sasa Click to expand... Ndugu, Mimba nyingi za mapacha huwa hazifiki full term. Mimi ni shahidi pia nimezaa mapacha baada ya wiki 32 tu hawakufika 36. Walikuwa premature sasa hivi ni warembo wa miaka 3. Kwa hiyo miezi yawezekana ni damu yako kabisa. Lea watoto acha umalaya.