Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mkuu ya simba waachie wenyewe 😂😂Ila yule kipa wa Simba Jana Kama aliambiwa hivi "jirushe upande mmoja tu!!".. nae bila hiana akatuonyesha sambasoti ama sogodati..🤣
Hapana mkuu ule udakaji na Ile visit Tanzania huoni tumetukanishwa..? Visit Tanzania so to see more keepers like him or what..???🤓Mkuu ya simba waachie wenyewe 😂😂
Unawatonesha kidonda
Umejitukana mwenyeweHapana mkuu ule udakaji na Ile visit Tanzania huoni tumetukanishwa..? Visit Tanzania so to see more keepers like him or what..???🤓
Ila yule kipa wa Simba Jana Kama aliambiwa hivi "jirushe upande mmoja tu!!".. nae bila hiana akatuonyesha ....🤣
😂 watutake radhi watanzaniaHapana mkuu ule udakaji na Ile visit Tanzania huoni tumetukanishwa..? Visit Tanzania so to see more keepers like him or what..???🤓
Na wanadunda kweli kweliWanadundaaaa sio kupiga tena
Kumbe unaskia? Endelea kusikia hivyo hivyo ila kwa hii mamelodi ya msimu huu inakanda vilivyo. Simba ingekufa home and away tena mapema sana. Weka ushabiki pembeniHao wangekutana na Simba wangeogaaa..
Nasikia waliulizwa wanataka wakutane na timu ipi wakaprefer wydad kuliko Simba..
Chawa wameanza kumind komenti zao hapo juu wananifanyia vitimbi..🤣😂 watutake radhi watanzania
Hapana dadaHao wangekutana na Simba wangeogaaa..
Nasikia waliulizwa wanataka wakutane na timu ipi wakaprefer wydad kuliko Simba..
Umewatonesha kidondaChawa wameanza kumind komenti zao hapo juu wananifanyia vitimbi..🤣
Kamtoe kwanza Wydad ndio uje hapaHao wangekutana na Simba wangeogaaa..
Nasikia waliulizwa wanataka wakutane na timu ipi wakaprefer wydad kuliko Simba..
Wydad ni wabovu wamekutana na mbovu zaidi yaoHapana dada
Kwa hawa jamaa wa mamelody tungeoga magoli nje ndani aisee, balaa la hawa jamaa sio.
Wydad wabovu sana walee, ni uzembe wa simba tuu kwa mkapa kumaliza game mapema
Yaani alikuwa kama mtu anajifunza kuogelea kwa mara ya kwanza😂😂😂Ila yule kipa wa Simba Jana Kama aliambiwa hivi "jirushe upande mmoja tu!!".. nae bila hiana akatuonyesha sambasoti ama sogodati..🤣