Hawa man u msimu huu ni shida

Subirini wakikutana na leicenster mrudi tena humu mje mtupe habari
 
Hizi tulocheza nazo ni miwa. Mimi main focus nataka nione tukicheza na big teams, Mou atachezesha vipi. Mana mambo ya kuja kucheza kama gemu ya super cup basi ata kama tutatwaa ubingwa sitofurahia.

Naomba Uefa watupange kundi 1 na madrid nataka nione tena kama tutacheza kwa woga au kwa kujiamini
 
Zipe heshima timu zote.EPL timu ndogo inawezakuifunga timu kubwa vilevile.Jambo la maana ManUtd lazima kila mechi timu icheze kama fainali.
 
Zipe heshima timu zote.EPL timu ndogo inawezakuifunga timu kubwa vilevile.Jambo la maana ManUtd lazima kila mechi timu icheze kama fainali.
Ndio maana EPL iko more entertaining than any other leagues, lkn sitofurahishwa ikiwa tutachukua epl uku ikiwa tumeperform vibaya dhidi ya big 5. Focus yangu ni uefa tena real madrid, huyu anankosesha usingizi kuliko timu yoyote ile ulaya. Ata nsipochukua uefa lakini madrid nae asichukue ndio ntaridhika, mana mambo ya madrid kuchukua back to back ni habari mbaya kwa epl teams
 
Subirini wakikutana na leicenster mrudi tena humu mje mtupe habari

Ulitakiwa Uitaje Chelsea,city,liver Na Arsenal Sio Huo Upupu
Kwa Kukusaidia Tu

Alifungwa Goli 7 Huyo Msimu Ulioisha Kwake 3 Ot 4 Kwa 1

Ila Kwa Sasa Nimapema Mno
 
siku zote shabiki ni adui tu, hata lukaku akioga arsenal watasema wanatimuliwa vumbi

n0 r0se with0ut th0rn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…