Hawa Mashabiki wa hizi timu ni tatizo sana

Hawa Mashabiki wa hizi timu ni tatizo sana

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848
Inasikitisha sana inapofikia hatua mashabiki kwenda kumfanyia vitendo kama hivi kiongozi wa timu, tena Mzee Dalali ambaye uongozi wake alijitahidi sana.

Mbaya zaidi, sababu yenyewe ya kumfanyia vitendo vya kufedhehesha kiongozi wao na mbele ya familia na majorani inapokuwa ni kufungwa na Mtani wao.

Ni mambo ya kufedhehesha sana. Haitakiwi soka letu lirudi kule.


 
Back
Top Bottom