Hawa mashabiki walioingia uwanja wa Uhuru nao walikuwa na tiketi?

danhoport

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2020
Posts
1,984
Reaction score
4,502
Nimemsikia Kitenge anasema hapa kuwa uwanja wa Taifa umejaa mpaka mashabiki wengine wameingia uwanja wa Uhuru, swali langu je hao mashabiki nao walinunua tiketi au walipewa ofa tu? Na kama walinunua tiketi iweje wakose nafasi? Au tiketi ziliuzwa nyingi kuliko idadi ya watu wanatakiwa kuwepo uwanjani?
 
Yanga Bingwa.
 
Funguliwa dog effects na supu vya bure vinaua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…