Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
ndio maana mapadre mashoga nao walipigania haki zao nakanisa likawatambue
Are u the great thinker!?...ndio maana mapadre mashoga nao walipigania haki zao nakanisa likawatambue
ushasema sheikh maana yake mdini tayar naona unapata tabu.masheikh wamewasiliana na sisi waislam nchi nzima hata arusha wajumbe walienda n.k. Waislam kama kundi jamii lazima watoe msimamo na utakua tofaut na ule wa maaskofu na vyama vya siasa
ushasema sheikh maana yake mdini tayar naona unapata tabu.masheikh wamewasiliana na sisi waislam nchi nzima hata arusha wajumbe walienda n.k. Waislam kama kundi jamii lazima watoe msimamo na utakua tofaut na ule wa maaskofu na vyama vya siasa
Are you for real!?acha uwongo mbona mimi niko msikitini sijasikia hau mnawasiliana usiku wa manane?Nilazima kuwe na uwiano wa taarifa maana kutumika au kutumiwa si vema.madai ya masheikh siku zote yamekuwa ni mvurugano nakiri hata katika msikiti niliomo vurugu hizi haziishi lakini si waislam wote tunayapenda haya.
Hao mashekhe wametumwa kuimarisha neno udini kuwa lipo na ndio wanataka kumwonyesha JK kuwa hilo janga la udini lipo.yaani kuna viongozi wengine wa dini zetu kweli sijui ni njaa au? kwanini mtu asiangalie ubinadamu anatumia dini kutoa tafsiri tofauti katika jamii,
Hao mashekhe wametumwa kuimarisha neno udini kuwa lipo na ndio wanataka kumwonyesha JK kuwa hilo janga la udini lipo.yaani kuna viongozi wengine wa dini zetu kweli sijui ni njaa au? kwanini mtu asiangalie ubinadamu anatumia dini kutoa tafsiri tofauti katika jamii,