Hawa mbuzi wananitia mashaka

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Nilisoma mada moja jinsi panya mende mijusi wanavyoondoa baraka za nyumban nikapiga dawa nkafanikiwa.

Sasa na geti moja na wapangaji wangu wakisahau kufunga tu, unakuta mbuzi 10 ndani. Sasa hawa nao nawaondoaje mpaka nikawaza ni yale yale mapanya yamejigeuza kuwa mbuzi ama.

Wahusika nishawambia wapi na mbaya n majirani unawaza mara mbili mbili. Nafikiria kupiga dawa yale majani wanayokimbilia.
 
Kuna mkaka jirani anatembeaga na dubwasha la dawa za najumban nkamwomba apige nyumba nzima na nje hakika hata panyaaa wa saananee hawapoootenaaa maana walikuwaa wakitembeea kama watu asbh kinaumana na shemeji yenu

Toka yaondokee hata ndoaa nafaidi
Sasa huyo mkaka jirani mwenye dubwasha mi nampataje huku moshi?
 
hawa wanyama sio wakucheka nao

kuna anaejua mbuzi zile zinatembea

zenyewe toka kijiweni kuelekea magomen

ndugu mmoja alimgonga mmoja akakimbiaaaaa

kesho yake mhusika kilichomtokea hana hamu akarudi kumtafuta mwenye mbuzi

akafankiwaa akauliza mbona umekimbia akaomba radhi analia
Akamkuta mbuzi amefungwa kitu mguun

Akaambiwa katafute mtu wa kumchinja uje akarudi. Na jamaa wakachinja mbuzi

Mzee akasema pona yakoo lazima Tulee wote jamaa akaona eeeh anaafanyaje

Akakubali wakapika wakala wote akaomba ampe 120000

mzee akamwambia chukua nyama iliobaki hio hela kapikie wajukuu zangu...

sasa aliegonga mtanga hujui alifanyaje mzee akawa mpole vile mie msukuma si ananimaliza mpwaa
 
Mkuu za watuuu na jamaa alishatoa onyo mbuzi atakaekufa tumboo la aliemuua litapiga kelele kama mbuzi maisha yotee unaweza mkuu...
Mkuu nikwakua sijafahamu ulipo ila kifupi nahakika hiyo dawa alikuja kuchukua kwangu.
Mimi hizo ndio kazi zangu hivo ludi kwenye point kwamba hao mbuzi ukiwadhuru umedhuru sehemu ya maisha yako mbuzi nikatika wale wanyama watakatifu ndio maana kuna nyota ya mbuzi na ng'ombe.
Wewe waache waingie watembee tembee tuu kikubwa wasiingie ndani maana wanaweza kula mboga na unga.
 
Kuna hawa wa kawe wako kama 30 wanatoka kawe wanaenda mpaka goigi usithubutu kuwagusa hata nagari

Kuna jamaa alimuua mmoja akakimbia usiku kijana anaitaa mzee meeee mke anauliza nn baba Kevin meeeeee baba nn jaman twende hosptall akaanza kulia kama anataka mzigooo mmmmhhhee mmmhhheee [kubahashia)

ndugu hoi wakaitana wakanza kuuliza anawajiibuu mmmemmmeh chakula hali akiona majan anakata kama yotee hii n kweli nenden ukwamani muulize...

Baadae wakampeleka kwa mganga akawambia huyu kafanya kitu mbuzi wa watu..wakanza kuuliziaa wakambiwa aliua mbuzi wa mtu akakimbia

Kwenda kwa yule babu akakuta kichwa cha mbuzi aliemuua akanza kuliaa mmeee meeeemzee akawambia kaen hapo akarudi na box lake akauliza ndugu mnatoa ngapi walipigika

Mwisho akaambiwa pasuen hiko kichwa alambe damu yake atapona

Ndio pona yake gafla akaanza kulia anaomba radhi.. wakampa akachemshe ale atakuwa poa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…