Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwamba nilituma E-mail nikatakiwa kutma picha nikafanya hvyo, wakaniomba niwapokelee baadhi ya vifaa vyao ambavyo vilikosa mtu wa kuvipokea. Nilipokubal nikatumiwa sms na kampuni ambayo walidai vifaa hvyo vimetumwa hlf nikatakiwa kulipia sh. 84,000 ndio nivpate. Nikasita kufanya hvyo nikahc ndio walewale.Ina shida gan?i mbona naona iko poa..
Ngaliba umenitisha kweli! Da! Ila nashukuru nilishtuka mapema so sijatapeliwa.Achanen na Matapeli ao..kuna jamb zngu waliibiwa bla kujijua..jamaa alijdai Mfanyakaz wa MKAPA FOUNDATION,akawahd vjana kazi,kila mtu lak3..wakaja kujikta ka vjana 15 washatapeliwa,na waschana kuliwa uroda,jamaa alikuwa na namba feki hazjasajiliwa...bahati alijsahau akatmia namc ya mkewe kupokelea MPESA,vijana wakamsaka mke,jamaa akakmbia familia mpaka leo...hela wakaibiwa na kaz hamna..jamaa anaitwa ANDREW BONIFAS NJILE...Na haijulikan yu wap japo anatafutwa.Vijana jhadharin na matapeli ktk kipind hk kigumu cha kutafuta maisha na kazi.MUWE NA SUBRA MUNGU ATAWAJALIA
Ni kwamba nilituma E-mail nikatakiwa kutma picha nikafanya hvyo, wakaniomba niwapokelee baadhi ya vifaa vyao ambavyo vilikosa mtu wa kuvipokea. Nilipokubal nikatumiwa sms na kampuni ambayo walidai vifaa hvyo vimetumwa hlf nikatakiwa kulipia sh. 84,000 ndio nivpate. Nikasita kufanya hvyo nikahc ndio walewale.
Vp yalikukuta?Ngaliba umenitisha kweli! Da! Ila nashukuru nilishtuka mapema so sijatapeliwa.
hapohapo Mkapa Foundation?or else?Kidogo yanikute.
Mambo wana JF! Mim ni member mpya nimejiunga nanyi ili nipate mawazo na ushauri wenu. Katka pitapita yangu nimekutana na issue ambayo mpaka sasa siielewi vizuri. Nikahc pengne ndio wale matapeli wa mtandoni niliowah kuwasikia. Chek Website created using 350pages at www.350.com.