Hawa nao wamehusika kwenye uchakachuaji kwa kimedia

Masako ni mtu wa CCM, kwani wadau hamkumbuku kwamba alienda kugombea ulanga magh, akapigwa chini kwenye kura za maoni?

Kwa heli heshima yake imeshuka sana!!!!
 
Ni kukosa busara kujadili picha ambayo haina maelezo ya kina kuhusu mahali na sababu ya waandishi hao wa habari kuwa pale, vinginevyo ni kufisadi fikra za watu
 
Zee libaya kuanzia sura, roho mpaka mawazo.
 


Mwimngine huyu hapa sijui kaahidiwa ubunge wa viti maalumu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…