Hawa nao wamezidi sasa nikisikia wamekuwa Maiti kwa Kuwachosha Polisi naweza kuwaelewa na hata kuwaunga mkono Polisi wao

Hawa nao wamezidi sasa nikisikia wamekuwa Maiti kwa Kuwachosha Polisi naweza kuwaelewa na hata kuwaunga mkono Polisi wao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Maafisa wa Polisi nchini Kenya wameingia katika mitaa mbalimbali ili kukabiliana na mamia ya waandamanaji katikati mwa jiji la Nairobi.

Waandamanaji hao wamedai lengo la maandamano hayo ni kutaka mageuzi yafanyike katika mfumo wa usimamizi wa rasilimali za umma, na haki kwa wenzao waliouawa.

Chanzo: itvtz

Mlitaka jambo fulani Kubwa na Muhimu lifanyike na angalau limefanyika sasa badala ya hata kumpa muda kidogo mliyekuwa mnagombana nae ili atulie na ajipange nyie mnakuja na mengine tena. Kwakweli mwanzoni GENTAMYCINE nilikuwa nanyi, ila sasa nitashukuru Polisi wenu wakiwafunua Ubongo kwa Risasi.

Mnaboa sasa na hii kamwe si dalili nzuri kwa Afya nzima ya Jumuiya ya Afrika Mashariki. Nahisi kuna Mpumbavu na nchi fulani za Magharibi zinawatumia hawa.
 
Genz ukiangalia Kwa kina hawana agenda muhimu mwanzo watu walihisi wako smart kumbe ni mapoyoyo tu, sema wamesaidia watawala wa afrika kuangalia kundi la vijana Kwa namna tofauti,
 
Mie niipoona wamevamia kantini baada ya kuingia bungeni nikajua tu hamna akili hapo. Wanaharibu nchu yao wenyewe, desperate yuts
 
Genz ni mkono wa kulia wa gachagua na matajiri wakikuyu toka mount kenya, DP ndio mfadhili wa kundi lile haramu
Rais Ruto nae amezidi sasa kuwa Mpole kama vipi anipe Kiti kwa Siku Moja tu niwafyekelee mbali na Kenya itulie vizuri.
 
Mie niipoona wamevamia kantini baada ya kuingia bungeni nikajua tu hamna akili hapo. Wanaharibu nchu yao wenyewe, desperate yuts
Rais Ruto anashindwa nini Kuwafyeka wote ili iwe Adabu kwa Wengine na Afrika Mashariki itulie? Kiukweli tumewachoka.
 
Maafisa wa Polisi nchini Kenya wameingia katika mitaa mbalimbali ili kukabiliana na mamia ya waandamanaji katikati mwa jiji la Nairobi.

Waandamanaji hao wamedai lengo la maandamano hayo ni kutaka mageuzi yafanyike katika mfumo wa usimamizi wa rasilimali za umma, na haki kwa wenzao waliouawa.

Chanzo: itvtz

Mlitaka jambo fulani Kubwa na Muhimu lifanyike na angalau limefanyika sasa badala ya hata kumpa muda kidogo mliyekuwa mnagombana nae ili atulie na ajipange nyie mnakuja na mengine tena. Kwakweli mwanzoni GENTAMYCINE nilikuwa nanyi, ila sasa nitashukuru Polisi wenu wakiwafunua Ubongo kwa Risasi.

Mnaboa sasa na hii kamwe si dalili nzuri kwa Afya nzima ya Jumuiya ya Afrika Mashariki. Nahisi kuna Mpumbavu na nchi fulani za Magharibi zinawatumia hawa.
Kenya wengi wamesoma alafu kusoma kwao huwa sio waajiliwe serikali hapana wanajiajiri wenyewe kikubwa kuwaombea hivi vitu visiambukize nchi za jiraini.maana binadamu aanapochoka afadhari ya mnyama atakimbia kuliko binadamu anakuwa zaidi ya mnyama.
 
Rais Ruto anashindwa nini Kuwafyeka wote ili iwe Adabu kwa Wengine na Afrika Mashariki itulie? Kiukweli tumewachoka.
Wapeleke wanajeshi wenu wa kitanzania huko kama unadhani wakenya nao ni maiti zinazotembea..
 
Maafisa wa Polisi nchini Kenya wameingia katika mitaa mbalimbali ili kukabiliana na mamia ya waandamanaji katikati mwa jiji la Nairobi.

Waandamanaji hao wamedai lengo la maandamano hayo ni kutaka mageuzi yafanyike katika mfumo wa usimamizi wa rasilimali za umma, na haki kwa wenzao waliouawa.

Chanzo: itvtz

Mlitaka jambo fulani Kubwa na Muhimu lifanyike na angalau limefanyika sasa badala ya hata kumpa muda kidogo mliyekuwa mnagombana nae ili atulie na ajipange nyie mnakuja na mengine tena. Kwakweli mwanzoni GENTAMYCINE nilikuwa nanyi, ila sasa nitashukuru Polisi wenu wakiwafunua Ubongo kwa Risasi.

Mnaboa sasa na hii kamwe si dalili nzuri kwa Afya nzima ya Jumuiya ya Afrika Mashariki. Nahisi kuna Mpumbavu na nchi fulani za Magharibi zinawatumia hawa.
GENTAMYCINE wewe akili kubwa unashabikia watoto wadogo kuuwawa na bunduki zilizonunuliwa kwa Kodi za WAZAZI wao? Haya yote kwa maslahi ya fisadi mmoja aliyeiba kura ili aingie ikulu? I did not expect this from you.
Kaka umeanza kufikisika kimaadili.
 
Back
Top Bottom