Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Ukiusikiliza ule wimbo wa Ccm mbele Kwa mbele Kuna maneno yanimbwa " Ccm ni Ile ile na makali ni yaleyale" hii nikweli
Vijana kama mnategemea sisiyemu itawalete kitu kipya sahauni sana sana wanaboresha namna ya kuifisadia hii Nchi.
Kikwete si alituahidi ajira Kwa Kila kijana?
Magufuli si alisema vilevile?
Subiri na huyu mama atasema yaleyale mko hapa.
Kikwete alienda mbali zaidi Kwa kusema "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA."
Katika uongozi wake nadhani mwaka 2006-2007 kulikuwa na njaa Kali mno tulikula mtama kama hatuna wazazi hii ilipelekea Hadi tukawa tunapewa mahindi Bure ya msaada.
Ng'ombe walikuwa hawana bei ilifikia ng'ombe tunauza Hadi 20,000/= ndio ni elfu ishirini Wakati kwenye kampeni alituambia maisha Bora Kwa Kila MTANZANIA!!
Hawa ndio ccm
Vijana kama mnategemea sisiyemu itawalete kitu kipya sahauni sana sana wanaboresha namna ya kuifisadia hii Nchi.
Kikwete si alituahidi ajira Kwa Kila kijana?
Magufuli si alisema vilevile?
Subiri na huyu mama atasema yaleyale mko hapa.
Kikwete alienda mbali zaidi Kwa kusema "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA."
Katika uongozi wake nadhani mwaka 2006-2007 kulikuwa na njaa Kali mno tulikula mtama kama hatuna wazazi hii ilipelekea Hadi tukawa tunapewa mahindi Bure ya msaada.
Ng'ombe walikuwa hawana bei ilifikia ng'ombe tunauza Hadi 20,000/= ndio ni elfu ishirini Wakati kwenye kampeni alituambia maisha Bora Kwa Kila MTANZANIA!!
Hawa ndio ccm