Jembe Ulimi
Member
- Aug 9, 2016
- 42
- 14
Yani akina Patience123 Sijui wanatuchukuliaje sisi madume ya mbeguUkisikia leo usije mjomba kanitembelea ujue imekula kwako
Teh teh.. Huu mchezo hautaki hasira.. Sisi ndio mama zako eti..Tena nlivokuwa na hasira nawewe,
Ujue mpaka demu wako afanye hivyo ujue ameshaku disqualify kuwa wewe sio dume la mbegu... May be joka lisilouma..Yani akina Patience123 Sijui wanatuchukuliaje sisi madume ya mbegu
Alafu Patience123 nataka nikuombe ushauriUjue mpaka demu wako afanye hivyo ujue ameshaku disqualify kuwa wewe sio dume la mbegu... May be joka lisilouma..
Mkuu hawa ni mama zetu, lakini wanapokwenda wrong lazima tuwaambieUyu jamaa anahitaji msaada WA kisaikologia, Yeye kila siku Ni wanawake Tu.Tena kwa kulalamika Tu,awanaga zuri kwake
Msaada uku jamaani.tutampoteza uyu kondoo kwa stress