Hawa ndio mastar wa 5 wa bongo ambao wametoka familia za kishua

Hujamweka Gk ww umekalilishwa
King Crazy GK mtoto wa Upanga mbona hayumo kwenye list? Niliwahi kusikia mtoto wa Kishombishombi nae kuwa hapigi muziki kwa shida namaanisha Bob Junior na kwamba mzee wake yuko Europe, au mtoto wa kishua lazima awe na baba mkubwa serikalini? Mtu ambaye yuko well off nae siyo wa kishua?
 
Gk wakishua kivipi wakati mganga njaa tu. Mama yake alikua anasota na chaki pale tambaza na vyuo uchwara mpaka alipopigiwa pande na mwanafunzi wake mnyika na kupata ubunge wa kupewa. Viti maalum

mama yake gk ni yupi ( mbunge wa viti maalumu)
 
Wapewe credit wanaostahili bhana...hao Washua zao wengi hapo wamepiga serikalini...kama hiyo AICC (sijui kwa sasa) lakini ni kama shamba la bibi...na ndio walichota hao kina Mdee, Tsere....hata Mzee Edo alipita hapo.

Alafu mtu anayejiita Nabii na kukusanya pesa za watu kwa kubadilishana na maombezi siwezi kumuhesabu kama shujaa......Mashujaa ni waliojibiidisha kivyaovyao na kutusua....kama kina Mzee Mengi....
 
Kumbe na Mama Ubaya naye yumo ndan kwny list.. Kwel, ko kufukuzwa kwny nyumba ya kupanga, mnada wa range zote kiki nin jamen, ama tuseme #kissBy Wemasapetu anatoka familia yenye uwezo wa kula, kulala pazur na.. Bas ndo yameisha
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38]
I thnk these [emoji120] [emoji120] [emoji120] fits most in this occasion, do u gat me, Valentina?!!

Kumbe na Mama Ubaya naye yumo ndan kwny list.. Kwel, ko kufukuzwa kwny nyumba ya kupanga, mnada wa range zote kiki nin jamen, ama tuseme #kissBy Wemasepetu anatoka familia yenye uwezo wa kula, kulala pazur na.. Bas ndo yameisha
 
Nakaza tuu,,name ntatusua japo sitakuwa celebrity!!!!!
 
Ahsante kwa ufafanuzi..Kuna uongo mwingi tunalishwa hapa JF
 
Sasa nimeishafahamu maana ya mtoto wa kishua, kumbe watu kibao ni watoto wa kishua kuna jamaa zangu kibao wamezaliwa nje ya nchi na baba zao wamewahi fanya kazi serikalini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…