Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,210
- 1,720
Ni mambo ya ajabu afisa usalama wa taifa anajiingiza kwenye ugomvi wa madada yalioshindikana ya mjini kama Mange na Sinta.Huyu afisa kaabisha kazi ambayo ni nyeti.
Afisa gani wa usalama anajipambanua kiasi hiki,unatumia nguvu kumjua yeye ni nani? ni aibu sana kwa sekta nyeti kuwa na mtu kama hii.
Afisa gani wa usalama anajipambanua kiasi hiki,unatumia nguvu kumjua yeye ni nani? ni aibu sana kwa sekta nyeti kuwa na mtu kama hii.