huyu si afisa usalama ni afisa ukahabaHuyo ni Afisa usalama?Siamini,afisa usalama na ugomvi wa makahaba wapi na wapi
UKisoma ma udaku ya blog za madada hawa utamjua tu kama mwenyewe keshasema an akaa maghorofani makumbusho na dada moja limemtaja kabisa kaka wa usalama.Anyway muhimu sio story za mapashkuna ila ni upumbavu wa huyu mwanausalamaMimi hapa naona chenga tu, huyu Afisa Usalama asiyekuw na jina tutamjuwa vipi? mbona Ramadhani Ighondu amewekwa wazi? hebu wekeni jina lake hapa nimfanyie screening na vetting upya.
Jipange upya, hapa JF siyo sehemu ya kuleta habari nusunusu, weka jina la huyo ofisa usalama hapa. mimi huwa sina muda wa kutembelea hivyo viblog uchwara.UKisoma ma udaku ya blog za madada hawa utamjua tu kama mwenyewe keshasema an akaa maghorofani makumbusho na dada moja limemtaja kabisa kaka wa usalama.Anyway muhimu sio story za mapashkuna ila ni upumbavu wa huyu mwanausalama
Huyo ni Afisa usalama?Siamini,afisa usalama na ugomvi wa makahaba wapi na wapi