Elections 2010 Hawa ndio top 10 ya mawaziri walioichakachua sana serikali ya awamu ya nne

Elections 2010 Hawa ndio top 10 ya mawaziri walioichakachua sana serikali ya awamu ya nne

mchakachuaji

Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
58
Reaction score
7
1. SOFIA MNYAMBI SIMBA
2.JUMA ATHUMAN KAPUYA
3.JOELI NNKAYA BENDERA
4.JUMMANNE MAGHEMBE
5.MAKONGORO MILTON MAHANGA
6.LAWRENCE MASHA akaTOZ au BACK FROM AMERICA
7.WILLIAM MGANGA NGELEJA
8.PHILIP SANG'KA MARMO
9.SHUKURU JUMANNE KAWAMBWA
10.HAWA ABDULRAHMAN GHASIA

NB: WALIOFANYA VIZURI WAPO NA NITAWATAJA JAPO HAWAFIKI 10!MAONI RUKSA :eek2:
 
1. SOFIA MNYAMBI SIMBA
2.JUMA ATHUMAN KAPUYA
3.JOELI NNKAYA BENDERA
4.JUMMANNE MAGHEMBE
5.MAKONGORO MILTON MAHANGA
6.LAWRENCE MASHA akaTOZ au BACK FROM AMERICA
7.WILLIAM MGANGA NGELEJA
8.PHILIP SANG'KA MARMO
9.SHUKURU JUMANNE KAWAMBWA
10.HAWA ABDULRAHMAN GHASIA

NB: WALIOFANYA VIZURI WAPO NA NITAWATAJA JAPO HAWAFIKI 10!MAONI RUKSA :eek2:

Ongeza uliowasahau baraza la kikwete lina mawaziri karibu 50
 
Usipomtaja Mustapha Mkulo, utakuwa haupo makini.
 
nami nasubiri kwa hamu maana ya kichwa cha habari ili niweze kujua
kama naafiki au la.
 
Kama uchakachuaji hapo unamaanisha kutokuwa makini katika utendaji wao, nakubaliana na wewe ila kama ungenipa fursa mimi ya kuwayaja ningemchomoa hapa NGELEJA na badalayake ningemwongeza STIVEN WASIRA!
 
Back
Top Bottom