Kwa hii match wenyeji walikuwa wanastahili na hata kama penalty haikuwa basi golikipa angejitahidi akaidaka kumaliza ubishi.
Kwa hii match wenyeji walikuwa wanastahili na hata kama penalty haikuwa basi golikipa angejitahidi akaidaka kumaliza ubishi.
Pia niliangalia takwimu za match hizi timu zilikuwa zimelingana karibia kwa kila kitu na goli la ushindi ndilo liliondoa utata huu!