prince kyextcatted
New Member
- Dec 12, 2013
- 3
- 4
Vitu maalumUle Mwaliko wa Mbatia ikulu una maana, labda asichukue form ya ubunge
Na hizo ndio research za wasomi wa awamu ya tano! naye ni graduate eti!Kwa kufanya kazi na mmoja wao na kusoma na mwingine, ndiyo kunawapa ubunge? Very interesting!
Kwa kufanya kazi na mmoja wao na kusoma na mwingine, ndiyo kunawapa ubunge? Very interesting!
Tesha aliangukia pua 2015 akawa watano. Pengine tusubiri mwaka huu ila anachuana na Professor Ndakidemi mwenye base jimboniKwa kufanya kazi na mmoja wao na kusoma na mwingine, ndiyo kunawapa ubunge? Very interesting!
Udhalilishaji wa kijinsia.Vitu maalum
Inshangaza kuona kwamba bado kuna watu huko Moshi wanaishabikia ccm!Sijui ni ndoto ama lah ila hawa ndio wabunge wa jimbo la Moshi Vijijini na Vunjo. Japo lakini mimi sio mpiga ramli. Dr Kimei nimefanya nae kazi alikuwa boss wangu CRDB na Comrade Victor Tesha nimesoma naye secondary na chuo kikuu na kufanya kazi pamoja wote; najuwa ni watu wa namna gani ndio maana nawiwa kusema hivi.
Nawatakia kila la kheri.
View attachment 1509043View attachment 1509044
Sasa Kama unazijua hizo strength zao tuambie hapa?Kufanya nao kazi na kusoma ni kwamba nimepata time ya kuwajua personal, how good they are plus skills in management all in all they are good and deserve better
Hahahaaa......dhithi idhi bongo mkuuKwa kufanya kazi na mmoja wao na kusoma na mwingine, ndiyo kunawapa ubunge? Very interesting!
Wewe sema kwavile umefanya nao Nazi na kusoma nao, unawapigia chapuo ili wakipata wasikusahau, otherwise huna lolote!Kufanya nao kazi na kusoma ni kwamba nimepata time ya kuwajua personal, how good they are plus skills in management all in all they are good and deserve better
Labda na KUBHuyo atapewa vitu maalum ndiyo rika lake