hapo mmoja lazma akatwejamani ongezeni maombi. Dybala na Icardi wameitwa kwenye kikosi cha awali. tusubiri endapo watafanikiwa kujumuishwa kwenye kikosi cha vijana 23
Alishastafu timu ya taifaWyne Rooney
[emoji23][emoji23][emoji23]Haji Manara
jamani ongezeni maombi. Dybala na Icardi wameitwa kwenye kikosi cha awali. tusubiri endapo watafanikiwa kujumuishwa kwenye kikosi cha vijana 23
Kama wameitwa kuna uwezekano mkubwa wa kuwepo kwenye 23.
Eric Lamela
Asipokuwepo Mauro Icardi sinangalii gemu hata Moja ya Argentina
Kuna issue nimeisikia kuwa Messi ana influence ya uchaguzi wa wachezaji nina wasiwasi asije mzibia Icardi maana nasikia Barca walimtaka jamaa akamzibia.Tunaomba iwe hivyo kamanda wangu
Yule kocha wao ni mbaguzi wa kiaina. Anamuamini sana Kibonge Higuain kuliko Icardi.
Wameahaitwa wote.Paulo Dybala na Mauro Icardi hawa wapo danger zone yawezekana wasiitwe kikosini.
Messi fala sana,anataka dembele auzwe,anamzibia hata javier pastore timu ya taifaKuna issue nimeisikia kuwa Messi ana influence ya uchaguzi wa wachezaji nina wasiwasi asije mzibia Icardi maana nasikia Barca walimtaka jamaa akamzibia.