Hawa ndio Wadhamini wa Singida Big Stars

Hawa ndio Wadhamini wa Singida Big Stars

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Ni timu iliyopanda daraja lakini tayari ina wadhamini wa kutosha. Wapo Sportpesa, TBL, Maji ya Uhai, Simba Cement pamoja na GSM.

Niwape heko Singida Big Stars, hakika mnaupiga mwingi sana
1D6D1435-90F7-418C-822F-F61C0E9C21BD.jpeg
 
najiuliza wataweza ku maintain kwa msimu ujao tena na kuendelea mbele zaidi any way kila la kheri
 
Hahaaaa
Hii timu sijui imepata wapi hela za kusajili Wabrazil wote wale! Bado benchi la ufundi!

Yaani ukilinganisha na kuongezeka kwa hizi tozo, kupanda kwa bei ya mafuta na ruzuku yake ya bilioni 100 kila mwezi!

Unaamua tu kujinyamazia.
 
Hahaaaa!!!naona kimba fc unaweweseka
Inafikirisha sana kama Singida United ilikuwa na wadhamini mpaka matakoni kama Makoloz lakini baada ya muda timu ikawa na Kukata wa ajabu sio wadhamini tu mpk wachezaji muhimu wakasepa na timu ikajifia
 
Back
Top Bottom